• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

Posted on: June 17th, 2023

Kila mwaka ifikapo tarehe 16 juni Tanzania inaungana na Nchi zingine za afrika kuadhimisha siku ya mtoto wa afrika, ambapo chimbuko la maadhimisho  hayo ni azimio lililopitishwa na uliokuwa Umoja wa nchi Huru za Afrika (OAU) mwaka 1990 kwa lengo la kuwakumbuka watoto wa kitongoji cha Soweto nchini Afrika ya kusini waliouawa juni 16, 1976 kutokana na ubaguzi wa rangi.

Hayo yameelezwa na katibu Tawala Wilaya ya Kilosa Salome Mkinga ambaye alikuwa mgeni ramsi akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu shaka  juni 16 mwaka huu wakati wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika ambapo kiwilaya  yaliyofanyika katika kata ya Magomeni kwenye  viwanja vya shule ya msingi Lamulilo.

Katibu Tawala huyo ameitaka siku hiyo kutumika katika kukumbushana, kuhamasishana, na kupeana taarifa juu ya changamoto zinazowakabili watoto ikiwemo ukatili wa aina mbalimbali kama vile ulawiti, ubakaji, utumikishwaji katika ajira hatarishi, ndoa na mimba za utotoni,ukeketaji na ukatili wa mitandaoni.

Mkinga amesema ili kukabiliana na changamoto hizo Serikali imesaini na kuridhia mikataba ya kimataifa kuhusu haki ya mtoto ya mwaka 1991,na mkataba wa Afrika wa haki na ustawi wa mtoto ya mwaka 2003 ambayo yote kwa pamoja imetoa miongozo ya kusimamia ulinzi na haki kwa mtoto.

Naye Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya jamii Alto Mbikiye amesema kuwa maadhimisho hayo yenye kaulimbiu “zingatia usalama wa mtoto katika ulimwengu wa kidigitali” inawataka wazazi, Walezi , Serikali na wadau wengine kuzingatia haki za watoto ikiwa ni pamoja na malezi mazuri,matunzo na ulinzi kwa usalama wa  mtoto.

Kwa upande wake Afande Hemedy Chabu kutoka Dawati la jinsia Polisi Wilaya ya Kilosa  amewakumbusha wazazi kufuatilia kwa ukaribu na kukagua mienendo ya watoto ili kuwaepusha na vitendo vya ukatili huku akiwaasa kutoa taarifa haraka katika vitengo husika pindi wanapobaini kutokea kwa vitendo hivyo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa