• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAMETAKIWA KUTUMIA WELEDI KATIKA KUTEKELEZA MFUMO WA IMASA

Posted on: May 22nd, 2024

Maafisa Maendeleo ya Jamii wilayani Kilosa wamepatiwa Mafunzo ya kutumia Mfumo wa Imarisha Uchumi na Mama Samia (IMASA) ili kuwasaidia wafanyabiashara  wilayani Kilosa kujisaili katika mfumo huo kwa lengo kuwainua wananchi kiuchumi.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo Mei 22, 2024 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri, Katibu Tawala wa Wilaya Bi. Salome Mkinga amewataka watumishi hao kutumia weledi katika kutekeleza zoezi hilo la kutoa elimu kwa wananchi juu ya faida za kujisajili katika mfumo huo  na kwa kiwango gani mwananchi anavyoweza kunufaika.

Pia Bi. Mkinga ameongeza kuwa Mfumo huo utaweza kutoa tathimini halisi inayoonesha wananchi wa Kilosa wanahitaji nini ili waweze kukua kiuchumi hivyo amewataka maafisa maendeleo kufanya kazi kwa ushirikiano katika kusimamia na kutekeleza zoezi hilo.

Kwa upande wake  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg. Michael J Gwimile amewata Maafisa Maendeleo Jamii  kuilewa na kuwaelimisha wananchi juu ya matumizi na manufaa ya  mfumo huo.


Naye Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii wilayani Kilosa  Ndg. Alto Mbikiye amesema mfumo huo utaweza kuwainua wananchi kiuchumi hususani  wafanyabishara awe mmoja mmoja au kikundi kwa kujisaili na kutoa taarifa zao katika mfumo huo ambapo utaweza kurahisisha  kujua mahitaji ndani ya kata na wilaya kiujumla ambapo serikali itaweza kufanya tathimini na kujua namna ya kutoa msaada.

Aidha Mbikiye amesema kuwa mfumo huu utaleta muunganiko kati ya mfanyabiashara mdogo na mfanyabiashara mkubwa  kwa ujumla lengo ni kuwainua wananchi kuichumi na mpango  huo umejikita katika makundi makubwa matatu ambayo ni wanawake, vijana na makundi maalum .


Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa