• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MAAFISA UGANI NA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WATAKIWA KUZINGATIA MAFUNZO WALIYOPATIWA ILI KULETA MATOKEO CHANYA KATIKA JAMII

Posted on: October 4th, 2024

Wito umetolewa kwa Maafisa Ugani na Maafisa Maendeleo ya Jamii waliopatiwa mafunzo kwa vitendo ya Mfumo wa fursa na vikwazo kwa maendeleo kuendeleza yale waliyofundishwa ili Elimu waliyoipata  ilete matokeo mazuri kama ilivyokusudiwa.

Wito huo umetolewa Oktoba 4, 2024,na Mwakilishi wa Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Hombolo Ndg.Lubuva Elisei na kusema kuwa Wakufunzi hao ngazi ya Kata wanajukumu kubwa la kuhakikisha kuwa Mfumo wa MUKI Unafanya kazi  huku akiwasisitiza kuingia na kuendelea kujifunza kupitia vitini vya mada mbalimbali zinazowekwa  katika mfumo ili kuleta matokeo chanya katika jamii.

Kwa Upande wake Mkurugenzi wa Utawala bora  na Ushirikishwaji wa Wananchi kutoka PS3+ D.k.t Nazar Sola  amesema kuwa walichagua Kilosa kuwa Wilaya ya mfano katika kufanya mafunzo hayo kutokana na kufanya vizuri katika mafunzo ya awali na pia kutokana kuwa na Kata nyingi, hivyo amewataka Maafisa hao kuithibitishia Serikali kuwa Mfumo huo unaweza kufanya kazi kama ilivyokusudiwa.

Amewasisitiza kufanya kazi kwa bidii kwa kuzingatia yale waliyofundishwa ili kuwasaidia Wananchi Kuibua Miradi wanayohitaji na kujiona sehemu ya miradi hiyo kutokana na ushiriki wao kuanzia hatua za awali.

Naye Mratibu wa O & OD Kutoka Wizara ya TAMISEMI Bi Stella Sasita Amesema kuwa  kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Zoezi hilo limefanyika kama Mfano hivyo kama likifanikiwa kuzaa matunda mfumo huo utazinduliwa  katika Halmashauri mbalimbali ili uweze kutumika rasmi.

Amesema kuwa kuwepo Kwa Mfumo huo wa MUKI kutarahisisha  na kutatua changamoto ya kutokuwepo kwa fedha za kwa baadhi ya Halmashauri,kwa upande mwingine ameyashukuru mashirika PS3+, na JIKA kwa kufanikisha mafunzo hayo kwa awamu zote.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILOSA DC June 06, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI WA VIJIJI KUCHUKUA HATUA DHIDI YA VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI KIDUHI

    June 19, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI NGAZI YA KATA NA VIJIJI KUSIMAMIA NA KUFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO IPASAVYO

    June 19, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA WAZAZI / WALEZI KUWAJIBIKA KATIKA MALEZI BORA YA WATOTO

    June 16, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KILOSA YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 12, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa