• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MADIWANI WATAKIWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI

Posted on: December 18th, 2020

Waheshimiwa madiwani wametakiwa kutambua kuwa ili kuwa na utawala bora wanao wajibu wa  kushugulika  na changamoto zinazowakabili wananchi kwa kuhakikisha vikao vya kisheria vinafanyika inavyostahiki kwani vikao hivyo ni njia mojawapo ya kushughulika na kero za wananchi lakini pia kujiletea maendeleo katika maeneo yao.


                                                                                                                             Mh.  Prof Palamagamba Kabudi Mbunge wa Jimbo la Kilosa Mjini

                                                                                                                                                  Mh. Dennis Londo Mbunge wa Jimbo la Mikumi

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya Kilosa Adam Mgoyi wakati akitoa salam zake katika baraza la madiwani ambapo amewataka kuhakikisha wanasoma kanuni za Halmashauri na taarifa mbalimbali zinazotoka kwa wataalam lakini pia kujenga ushirikiano katika kutatua kero mbalimbali pamoja na kutekeleza maagizo yote yanayotolewa na Serikali Kuu ili halmashauri iweze kwenda vizuri.


Aidha amesema anatambua kazi kubwa iliyofanyika katika ukusanyaji wa mapato kwani kipindi cha mwaka 2016 hali ya makusanyo ya mapato ilikuwa billion 1.6 lakini kwa sasa hali ni nzuri makusanyo ni bilioni 4 hii ikiwa kazi iliyofanyika kwa ushirikiano mkubwa kutoka kwa madiwani hata hivyo vyanzo vingi vya mapato bado havijafikiwa hivyo ipo haja ya kuendelea kusimamia, kukusanya na kuvifikia vyanzo vyote vya mapato ambavyo havijafikiwa lakini pia amewataka madiwani kushirikiana na Halmashauri kuwa na mpango mkakati wa kuandaa master plan ya mji wa Kilosa kwani shughuli mbalimbali zitaongeza kupitia ujenzi wa reli ya mwendo kasi unaoendelea ambapo inategemewa kuwa na ongezeko la watu kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kiuchumi.


Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Mwambambale amesema kama viongozi tunao wajibu wa kuweka mazingira bora ya kujifunza kwa ajili ya kizazi chetu katika sekta ya elimu msingi, sekondari na vyuo kwa kuhakikisha kunakuwa na huduma bora na mazingira mazuri ya kujifunzia lakini pia  kuhimizana katika kuwekeza katika kilimo kwani Kilosa ina ardhi nzuri kwa ajili ya kilimo.sambamba na kuchochea maendeleo huku akiwasihi madiwani hao kufanya kazi kwa kushirikiana  na kwamba uwezo wa halmasha uri kujiendesha na kuhudumia wananchi wake kwasasa hali ni nzuri.

                                                                                                                             Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mh. Wilfred Sumari

Pamoja na hayo baraza hilo liliambatana uchaguzi wa Mwenyekiti wa Halmaushari na Makamu wake ambapo Mh. Wilfred Sumari alichaguliwa kuwa Mwenyekiti na Makamu akiwa ni Mh. Vicent Lusinde ambapo Mwenyekiti huyo amewataka madiwani wenzake pamoja na uongozi wa Halmashauri na Wilaya kiujumla kumpa ushirikiano wa kutosha katika kusimamia makusanyo na matumizi ya fedha kutoka Serikali Kuu na Halmashauri ili kuleta maendeleo kwa wananchi.


Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Kilosa kufanya sensa ya mifugo

    December 29, 2022
  • Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

    December 24, 2022
  • Kilosa yaendelea kutambua juhudi za Serikali kwa Watumishi wa Umma na Wananchi-DED Kilosa

    December 19, 2022
  • -Serikali haitosita kulinda Rasilimali watu kwa maslahi ya Maendeleo ya Taifa- Mh. Mhagama

    December 20, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa