• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU KILOSA 2024

Posted on: April 22nd, 2024




Mwenge wa uhuru 2024, umepokelewa leo Aprili, 2024 wilayani Kilosa ukitokea wilaya ya Gairo na kuanza kukimbizwa na kutembelea, kuzindua na  kukagua  miradi ya maendeleo kuanzia 22 Aprili, 2024 na kuukabidhi  23 Aprili, 2024 katika wilaya ya Kilombero Kijiji cha Idete.

Mkuu wa wilaya ya kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka amepokea mwenge huo kutoka wa Mkuu wa wilaya ya Halmashauri ya Gairo Mhe. Jabir Omar Makame

Akiongea wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika katika kata ya Mtumbatu wilayani Kilosa Mhe. Shaka amesema  kuwa mwenge wa uhuru utakimbizwa umbali wa km 331.9 katika Tarafa sita kati ya saba, kata 21 kati 40 na vijiji 37 kati ya 138 ambapo utapitia jumla ya miradi sita ya maendeleo na shule ya wanafunzi wenye mahitaji maalum.


Mhe.Shaka ameongeza kuwa Miradi hiyo ya maendeleo yenye thamani ya shilingi 2,883,413,707.71 (100%)  ambapo shilingi  1,800,000,000.00 (0.06%) Mchango wa wananchi,  Shilingi 58,772,400.00 (2.04%) Mchango wa Halmashauri, shilingi 967,916,557.29 ( 33.57%) mchango wa serikali kuu, na shilingi 1,854,924,750.42 (63.33%) mchango wa wahisani .

Ameeleza kuwa miradi 4 itazinduliwa, 1 utafunguliwa na 2 kuonwa. Miradi hiyo ipo katika Sekta ya Elimu, Afya, Barabara, Maji, Kilimo na Maendeleo ya Jamii. Ambapo mwenge huo utakimbizwa ndani ya halmashauri ya wilaya ya kilosa na  kuitimisha mbio hizo 23 Aprili, 2024 na kukaabidhi wilaya ya Kilombero halmashauri ya  Mlimba Kijiji cha Idete.

Mradi uliozinduliwa na mwenge wa uhuru mpaka sasa ni mradi wa ujenzi wa kalavati lenye midomo minne  masombawe kata ya mamboya wenye thamani ya shilingi 356,286,300.00 fedha kutoka serikali kuu ambapo mradi huo utasaidia kuondoa kero za wananchi kusafiri umbali mrefu wa zaidi ya kilomita 15 kutoka Mamboya kupitia Magubike pia itachagiza shughuli za kiuchumi.


Kauli mbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 ni “Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu”.
















































Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa