• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MATABIBU WA AFYA YA KINYWA WASISITIZA KUTOA ELIMU YA AFYA - DC

Posted on: March 20th, 2019

Machi 20 mwaka huu katika Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Kinywa na Meno Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amewataka matabibu wa afya ya kinywa na meno kupanua afua za kitabibu kulingana na miongozo mbalimbali ya huduma za afya ya kinywa na meno ikiwemo kuwa na ratiba za kutembelea shule za msingi na sekondari kwa lengo la kutoa elimu, ushauri, uchunguzi na matibabu kwa wale watakaobainishwa kuwa na matatizo.

Mgoyi amesema kuwa pamoja na kupanua afua hizo wanatakiwa kuwawezesha kwa kuwajengea uwezo watumishi katika vituo vya afya na wale wanaotoa huduma za afya majumbani pamoja na kuwezesha utoaji wa huduma ya mkoba ya afya ya kinywa na meno ili kuongeza upatikanaji wa huduma kwa wananchi walio mbali na vituo vya kutolea huduma za kinywa na meno.

Akiongea na wananchi waliofika kufanya uchunguzi wa afya ya kinywa na meno Mgoyi amesema kuwa serikali inatambua upungufu mkubwa wa watoa huduma wakiwemo madaktari wa kinywa na meno ambapo Serikali ya awamu ya Tano inaendelea kupambana na kutatua changamoto za watoa huduma za afya ya kinywa na meno lengo ikiwa kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo.

Aidha amewataka wananchi kufahamu kuwa uchunguzi wa afya ya kinywa na meno ni muhimu hivyo ni vyema jamii ikahamasi ka na kuwa na hulka ya kwenda hospitali kufanya uchunguzi wa kinywa na meno ili kujihakikishia usalama wa kinywa na meno.

Naye daktari wa Afya ya Kinywa na Meno Mkoa wa Morogoro Dkt Samson Tarimo amesema kuwa kaulimbiu katika maadhimisho hayo ni Sema aaah, chukua hatua zinazingatia katika Afya ya Kinywa na Meno na kwamba lengo la maadhimisho hayo ni kujenga uelewa na kutoa matibabu kwa matatizo ya afya na kinywa na kwamba katika maadhimisho hayo wamefanikiwa kutoa huduma katika shule za msingi Kilosa Town, Mazinyugu na Kichangani sambamba na kwa wananchi ambapo matatizo yaliyobainika ni kuoza na kutoka kwa meno, fizi na mpangilio mbaya wa meno.

Sambamba na hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Lucas Mwambambale amewataka matabibu wa afya kuwa na mpango kazi wa namna ya kutoa huduma kupitia fursa za mikutano mbalimbali ya vijiji ili kutoa elimu  na huduma  ya afya ya kinywa na meno lakini pia amewashukuru wadau mbalimbali na hasa madaktari waliotoa huduma za afya ya kinywa na meno na amewataka kuendelea kutoa huduma kwa kuweka mbele zaidi taaluma yao.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mfumo wa TAUSI watambulishwa kwa wafanyabiashara

    March 23, 2023
  • Shule ya Msingi Tambukareli yaanza kutumika rasmii

    March 06, 2023
  • Shule ya Msingi Tambykareli yaanza kutumika rasmi

    March 06, 2023
  • DC SHAKA ASISITIZA UONGOZI WA PAMOJA

    March 01, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa