• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Mbio za Mwenge wa Uhuru zafana Kilosa

Posted on: August 5th, 2021

Mwenge wa Uhuru 2021 umekimbizwa wilayani Kilosa Agosti 4 na kufanikiwa kutembelea miradi mitano na kupongeza utekelezaji wake aidha mwenge wa uhuru pamoja na umewapongeza Viongozi wa Wilaya ya Kilosa kwa kufanya vizuri miradi mingine minne iliyotembelewa.Akiongea mara baada ya kukamilika kusomwa kwa Risala ya Utii kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyosomwa na Katibu Tawala Ndg. Yohana Kasitila, Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa LT Josephine Paul Mwambashi amesema Mwenge wa Uhuru haukuweza kuweka jiwe la msingi mradi huo kutokana na kukosa nyaraka za malipo ya ujenzi wake,

Lt. Josephine Mwambashi ametumia fursa hiyo kutoa angalizo kwa viongozi wanaopewa dhamana ya kusimamia miradi ya maendeleo kuwa wazalendo katika kusimamia miradi hiyo kwa kwani Serikali inatoa fedha hizo kwa ajili ya watanzania kupata huduma muhimu zikiwemo za afya, maji, elimu, barabara na huduma nyinginezo katika sekta mbalimbali  hapa nchini.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mh.Majid Mwanga amesema kuwa mwenge wa uhuru amepitia  miradi ya maendeleo mitano yenye thamani ya zaidi ya Tsh.2.2Bil. ikiwa katika sekta ya Afya, Maji na Elimu ambapo katika utekelezaji wa miradi yote hiyo Serikali kuu imechangia Tsh.1,348,431,600/=, Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kiasi cha Tsh. 470,993,161 na Tsh. 205,295,000 ni mchango kutoka kwa wananchi.

 Pamoja na hayo Agosti 5 Mkuu wa Wilaya alikabidhi mwenge wa uhuru wilayani Ulanga mara baadha ya kumaliza mbio zake wilayani Kilosa ambapo alimkabidhi mkuu wa wilaya ya ulanga Mh.Ngollo Malenya mwenge wa uhuru pqamoja na wakimbiza mwenge wote wakiwa salama.


Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa