• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MBUNGE WA KILOSA MJINI ACHANGIA VIFAA KUDHIBITI CORONA

Posted on: May 4th, 2020

Mbunge wa jimbo la Kilosa mjini Mh. Mbaraka Bawazir Mei  4 mwaka huu amechangia vifaa mbalimbali  kwa ajili ya kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya ugojwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi vya Corona ambao umetangazwa kuwa janga la kidunia ambapo amechangia thermoscanner, ndoo 60 za kunawia mikono zikiwa na koki zake, barakoa box 6, gloves pamoja vitakasa mikono box 1 ili viweze kusaidia katika kudhibiti na kupambana na corona.


Akikabidhi vifaa hivyo kwa Mkuu wa Wilaya mwakilishi wa Mbunge huyo ambaye ni diwani mstaafu Ahmed Islam Kabuma amesema corona ni janga la kidunia na kwamba ili kuushinda ugonjwa huo ni muhimu kuwa  na ushirikiano ambapo kwa upande wake ameahidi kutoa shilingi milioni ili kuchangia mapambano hayo.

Akipokea vifaa hivyo Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amesema anamshukuru mbunge Bawazir pamoja na diwani mstaafu Mh. Kabuma kwa kuonyesha kujali kwani matatizo ya ugonjwa wa corona yanaweza kumpata yoyote hivyo ushirikiano unahitajika kwa watu wote huku akiendelea kuwasihi wadau wengine kuendelea kutoa michango yao mbalimbali ambayo ni msaada mkubwa katika kipindi hiki na kwamba itasaidia katika kujiknga pamoja na kununua madawa mbalimbali ya kujitibia.


Naye Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi katika kudhibitii corona ametoa mchango wake wa barakoa 400 ikiwa ni sehemu ya mchango wake lakini pia amekabidhi thermoscanner moja iliyotolewa na mdau Mohamed Nassoro pamoja na barakoa ambapo amekabidhi vifaa vyote kwa pamoja kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Mwambambale kwa ajili ya kufanya kazi iliyokusudiwa.

Aidha kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya imempongeza Mkuu wa Wilaya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na timu yake kwa jitihada mbalimbali ambazo wamekuwa wakizionyesha katika kuchukua hatua mbalimbali za kupambana na kuhakikisha wilaya ya Kilosa kiujumla na wakazi wake wanachukua hatua stahiki za kujikinga na janga la corona ikiwemo kuhamasisha wadau mbalimbali kutoa michango mbalimbali ya vifaa ili kudhibiti corona.

.


Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa