• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MBUNGE WA KILOSA MJINI ACHANGIA VIFAA KUDHIBITI CORONA

Posted on: May 4th, 2020

Mbunge wa jimbo la Kilosa mjini Mh. Mbaraka Bawazir Mei  4 mwaka huu amechangia vifaa mbalimbali  kwa ajili ya kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya ugojwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi vya Corona ambao umetangazwa kuwa janga la kidunia ambapo amechangia thermoscanner, ndoo 60 za kunawia mikono zikiwa na koki zake, barakoa box 6, gloves pamoja vitakasa mikono box 1 ili viweze kusaidia katika kudhibiti na kupambana na corona.


Akikabidhi vifaa hivyo kwa Mkuu wa Wilaya mwakilishi wa Mbunge huyo ambaye ni diwani mstaafu Ahmed Islam Kabuma amesema corona ni janga la kidunia na kwamba ili kuushinda ugonjwa huo ni muhimu kuwa  na ushirikiano ambapo kwa upande wake ameahidi kutoa shilingi milioni ili kuchangia mapambano hayo.

Akipokea vifaa hivyo Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amesema anamshukuru mbunge Bawazir pamoja na diwani mstaafu Mh. Kabuma kwa kuonyesha kujali kwani matatizo ya ugonjwa wa corona yanaweza kumpata yoyote hivyo ushirikiano unahitajika kwa watu wote huku akiendelea kuwasihi wadau wengine kuendelea kutoa michango yao mbalimbali ambayo ni msaada mkubwa katika kipindi hiki na kwamba itasaidia katika kujiknga pamoja na kununua madawa mbalimbali ya kujitibia.


Naye Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi katika kudhibitii corona ametoa mchango wake wa barakoa 400 ikiwa ni sehemu ya mchango wake lakini pia amekabidhi thermoscanner moja iliyotolewa na mdau Mohamed Nassoro pamoja na barakoa ambapo amekabidhi vifaa vyote kwa pamoja kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Mwambambale kwa ajili ya kufanya kazi iliyokusudiwa.

Aidha kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya imempongeza Mkuu wa Wilaya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na timu yake kwa jitihada mbalimbali ambazo wamekuwa wakizionyesha katika kuchukua hatua mbalimbali za kupambana na kuhakikisha wilaya ya Kilosa kiujumla na wakazi wake wanachukua hatua stahiki za kujikinga na janga la corona ikiwemo kuhamasisha wadau mbalimbali kutoa michango mbalimbali ya vifaa ili kudhibiti corona.

.


Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mfumo wa TAUSI watambulishwa kwa wafanyabiashara

    March 23, 2023
  • Shule ya Msingi Tambukareli yaanza kutumika rasmii

    March 06, 2023
  • Shule ya Msingi Tambykareli yaanza kutumika rasmi

    March 06, 2023
  • DC SHAKA ASISITIZA UONGOZI WA PAMOJA

    March 01, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa