• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MBUNGE VITI MAALUMU ANAYESHUGHULIKIA WAFANYAKAZI AFANYA ZIARA KILOSA

Posted on: December 14th, 2023

Mbunge wa Viti Maalumu anayeshughulikia wafanyakazi Mhe. Dkt. Alice Karungi Kaijage amefanya ziara ya kutembelea Halmashauri ya Wilaya ya Kilos ana kusikiliza changamoto, ushauri na mapendekezo ya watumishi wilayani hapo.

Akizungumza 14 Disemba,2023 katika ukumbi wa shule ya msingi Mazinyungu Mhe. Alice amesema kuwa lengo la ziara hiyo ni kusikiliza changamoto, kubaini maendeleo ya watumishi pia kupokea ushauri wa watumishi kwa serikali katika kipindi hiki cha miaka mitatu hususani katika masuala ya kiutumishi.

Ameongeza kuwa ni jukumu lake kuhakikisha anatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa kusimamia vema mambo mbalimbali ya kiutumishi nchini. Ambapo katika kikao hicho watumishi wialayani kilosa waliweza kueleza changamoto mbalimbali zinazowakabili, kutoa ushauri na mapendekezo ikiwemo kuwepo na usawa stahiki katika idara zote na vitengo kama vile kulipwa kwa wakati malipo ya likizo, malipo ya wastaafu, uwepo wa magari na pikipiki katika idara zote na vitengo, nyumba za kuishi watumishi wote, fedha za usimamizi na ufatiliaji wa miradi, kupandisha madaraja, kubadilisha muundo, Pamoja na ongezeko la fedha za matumizi mengineyo (OC).

Mhe. Alice ameongeza kuwa katika kipindi cha mika mitatu Serikali imeweza kupandisha madaraja watumishi 425,000 amabpo kwa mwaka inaigharimu serikali kiasi cha shilingi Tilioni 1.12 lakini pia kwa upande wa ajira takribani watumishi 129,000 kutoka serikali kuu na 21,000 kutoka serikali za mitaa wameajiriwa.

Pia ameeleza kuwa katika bajeti yam waka wa fedha 2023/2024 serikali imeweza kuajiri watumishi 47,000 na kusema kuwa serikali inaendelea kuwajali watumishi wake kwa kubadilisha miundo ya watumishi 3,345.

Katika hatua nyingine Mhe. Alice ameshauri kuwepo na utaratibu wa kufanya vikao na watumishi ili kubaini changamoto mbalimbali zinazowakabili watumishi hao na kuzitafutia ufumbuzi kwa wakati.

Naye kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmasahuri ya Wilaya ya Kilosa Ndg. Joseph Kapere amesema kuwa changamoto mbalimbali za kiutumishi zinaendelea kutatuliwa kulingana na bajeti iliyopo.

Pia ameongeza kuwa fedha ya mapato ya ndani Halmashauri ujiwekea vipambaule ambavyo viko kwenye bajeti na mambo ambayo hujitokeza kwa dharura kama vile mafuriko ambapo Halimashauri ipo katika hali hiyo kwa sasa na kusababisha baadhi ya mambo kutokamilika kwa wakati.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa