• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Mfumo wa TAUSI watambulishwa kwa wafanyabiashara

Posted on: March 23rd, 2023

Elimu ya mfumo Tausi wa kukata lesen za biashara na kufanya malipo ,kukata vibali mbalimbali na kutoa kodi za Serikali bila kufika katika ofisi husika za halmashauri umeanza rasmi kutolewa kwa wafanyabiashara wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro.

Akitoa Elimu hiyo Afisa Biashara Wilaya Idrisa Jukulu kwa wafanyabiashara wa  Tarafa ya kimamba na Kilosa amesema mfumo huu ni mfumo mpya ulliotolewa na TAMISEMI utawarahisishia wafanyabiashara wote na wanaolipa ushuru mbalimbali kufanya malipo na kukata lesen sehemu yoyote walipo bila kufika ofisi za Halmashauri kwaajili ya kupata huduma hiyo.

Aidha amefafanua kuwa mfumo huu utaanza kutumika rasmi kuanzia mwezi wa saba mwaka huu ambapo kwasasa umeanza kutumika kwa wateja wapya ambao wanafungua biashara zao ambazo zinahitaji lesen za biashara .

Jukulu amesema mfumo huo unaweza kutumika kupitia simu janja kwa mfanyabiashara ambapo ili kufanikisha kutumia mfumo huo na taratibu nyinginezo mfanyabiashara atatakiwa kuwa na namba ya NIDA yenye majina ya mfanyabiashara husika, TIN namba, namba ya simu ambayo imesajiliwa..

Amesisitiza kuwa mfanyabiashara atakayeomba leseni ya biashara kwa njia ya mfumo wa Tausi anatakiwa kuchagua aina ya leseni  ya biashara anayoifanya na kwamba  kinyume na hapo ni kosa kuomba leseni tofauti na biashara unayoifanya na kwamba mfanyabiashara yoyote atakayekiuka taratibu hizo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.



Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI

    June 05, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kufanya marejesho kwa wakati

    June 02, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kurejesha kwa wakati

    June 02, 2023
  • Shaka aahidi kushirikisha wananchi utatuzi wa changamoto

    May 31, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa