• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MHE. SHAKA AWATAKA VIONGOZI NGAZI YA VIJIJI NA KATA KUZUIA KUINGIZA MIFUGO KIHOLELA

Posted on: July 16th, 2025

Viongozi ngazi ya Vitongoji, Vijiji na Kata wametakiwa kuacha utaratibu  wa kuingiza mifugo kiholela katika maeneo yao kutoka miji ya jirani hususani maeneo ya mipakani  kwani kufanya  hivyo ni kinyume na utaratibu na atakayebainika atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Hayo yameelezwa Julai 16, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka wakati akizungumza na wananchi katika Ziara yake kata ya Malolo ambapo amewataka viongozi hao kutimiza uwajibu wao  pasipo kutanguliza maslahii yao binafsi  kwani kufanya hivyo kunasababisha migogoro ya Wakulima na Wafugaji wilayani hapa.

Mhe. Shaka amesema kuwa viongozi wamepewa dhamana ya kulinda na kutetea maslahi ya wananchi na sio kuwakandamiza kwa kutumia vibaya mamalaka waliyopewa kwa manufaa yao binafsi na kwamba hali hiyo inasababisha  uvunjifu wa Amani katika maeneo yao

“Ni marufuku kuingiza mifugo kwenye kata hii na wilaya hii kinyume na utaratibu tukikubaini hatua kali za kinidhamu tutazichukua” . Alisisitiza Mhe. Shaka

Mkuu huyo wa Wilaya ameongeza kwa kusema kuwa  asilimia 80 ya shughuli zinazofanyika katika kata hiyo ni kilimo hivyo amewataka Viongozi hao kujikita zaidi katika kusimamia shughuli za kiuchumi zitakazoleta maendeleo kwa Wananchi wa kata hiyo na Wilaya nzima kwa ujumla.

“Mkipata ushauri mzuri wa kitaalamu wa kilimo Malolo mnauwezo wa kufungua fursa za wafanyabiashara wakubwa ndani na nje ya nchi  kuja kuchukua bidhaa katika kata hii”. Alisema Mhe. Shaka


Katika Ziara hiyo Mhe. Shaka amembelea na kukagua Miradi ya maendeleo ikiwemo Mradi wa usambazaji wa maji safi na salama, Ujenzi wa barabara kiwango cha kokoto kitongoji cha Ruaha darajani,Shule ya msingi Chabi na kituo cha afya Malolo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILOSA DC June 06, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • DC SHAKA AMEIPONGEZA SERIKALI KWA KUUFUFUA UWANJA WA NDEGE TENDE

    August 06, 2025
  • HESLB YATOA ELIMU YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI KILOSA

    July 30, 2025
  • DC SHAKA AZINDUA ZOEZI LA CHANJO KWA MIFUGO WILAYANI KILOSA

    July 30, 2025
  • MHE. SHAKA AWATAKA VIONGOZI NGAZI YA VIJIJI NA KATA KUZUIA KUINGIZA MIFUGO KIHOLELA

    July 16, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa