• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MIKOA YATAKIWA KUAINISHA MAENEO YA UTALII NA UWEKEZAJI NA KUYATANGAZA

Posted on: September 29th, 2023

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Exaud Kigahe ameitaka Mikoa yote kuanisha maeneo ya uwekezaji na kuyatangaza ili wawekezaji wakifika Nchini wakute mazingira wezeshi kwa kuwekeza na kukuza Utalii na uchumi wa Nchi.

Naibu Waziri huyo amesema hayo septemba 28,2023 wakati wa kufunga maonesho ya KARIBU UTALII KUSINI yaliyofanyika Mkoani Iringa kuanzia septemba 23 mpaka 28 yakishirikisha Mikoa 10 lengo likiwa ni kuhamasisha shughuli za Utalii katika Mikoa ya Kusini ikiwa ni jitihada za kuunga mkono Juhudi za Mhe Rais Dokta Samia Suluhu Hassan za kutangaza Utalii.

Amesema kuwa kila Mkoa na Wilaya uandae mikakati thabiti ya kukuza utalii na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji ambapo ameitaja  Mikakati hiyo kuwa ni pamoja na Mikoa na Halmashauri zote kuendelea kutangaza fursa za utalii,Kuibua mazao ya Utalii na kuendelea kutangaza vivutio vya utalii kusini,Timu za uratibu zifanyike kwa pamoja ili kuweza kuandaa kwa ufanisi maonesho ya Karibu utalii kusini.

Sambamba na hayo Naibu Waziri Kigahe amewataka Watanzania kuwekeza katika Hoteli za nyota 5 ili kuweka mazingira mazuri kwa wageni wanaokuja kutalii na wawekezaji hivyo kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Iringa ambao ni wenyeji wa maonesho hayo Mhe Halima Dendego amesema kuwa Mhe Rais Dokta Samia Suluhu Hassan amekuwa kinara na Balozi katika kutangaza na kukuza utalii hivyo maonesho hayo ya Karibu utalii kusini ni jitihada za kuunga mkono juhudi zake za kutangaza utalii.

Katika Maonesho hayo banda la Wizara ya maliasili na utalii limeibuka kuwa banda bora la jumla na katika mabanda ya Mikoa banda la mkoa wa Njombe limeshika nafasi ya kwanza likufuatiwa na banda la Mkoa wa Morogoro.


Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa