• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MIRADI ISIMAMIWE NA WATAALAM- RC MORO

Posted on: January 7th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kwebe S. Kebwe amewataka wataalam wilayani Kilosa hasa katika sekta ya ujenzi kusimamia kikamilifu ujenzi wa miradi mbalimbali inayoendelea  lengo ikiwa kupata majengo ama miundombinu iliyo bora.

Kebwe amesema hayo katika ziara ya siku mbili wilayani Kilosa ambapo amesema  ni vema wataalam wakasimamia badala ya kuwaachia mafundi jambo ambalo linaweza kusababisha miradi kutokamilika katika kiwango kinachostahili.

Akizungumzia upande wa ukusanyaji mapato Kebwe amesema mwaka 2019 ni mwaka wa kutafuta fedha kwani wilaya ina vyanzo vingi vya mapato hivyo anategemea kupanda kwa mapato toka 84% iliyopo sasa.

Aidha amewakumbusha wazazi na walezi kuchangaia chakula mashuleni huku akiagiza kukamatwa kwa wanaume wanaowapa wanafunzi mimba kwani tendo la kuwapa wanafunzi mimba ni kuwakatishia ndoto zao huku akisisitiza kuendelea kwa ujenzi wa madarasa kwani kupitia mfumo wa elimu bila malipo kumekuwepo na ongezeko kubwa la wanafunzi huku akitoa ahadi ya kuchangia shilingi milioni moja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu.

Sambamba na hayo amemwagiza Injinia wa maji Mkoa kukaaa na Halmashauri ili kuweka mkakati wa kuboresha miundombinu ya maji pamoja na kuendeleza ujenzi wa zahanati katika kata ya Malolo ili huduma zianze mara moja.

Kebwe katika ziara yake ametembelea na kukagua shamba darasa la kufundishia wafugaji linalomilikiwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya Ameir Mbarak ambapo amewahamasisha wananchi kufuga kwa tija  na kuachana na ufugaji wa kuhamahama kwani shamba hilo ni mfano wa kuigwa ambapo mifugo inahudumiwa kitaalam

Naye Mbunge wa Jimbo la Mikumi Mh. Joseph Haule licha ya kutoa ahadi ya kumalizia matundu ya vyoo shule ya msingi Ruaha Darajani , pia ameahidi kutoa mifuko 400 ya saruji kwa kituo cha Afya cha Malolo na Mikumi pamoja na viti na meza 60  shule ya Sekondari Mwega huku akiiomba serikali kutatua changamoto ya barabara katika kata ya Malolo sambamba na huduma ya maji.

Ziara hiyo ya Mkuu wa Mkoa ilihitimishwa kwa ugawaji wa vitambulisho kwa wajasiriamali wadogo wadogo tendo lililofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ambapo Kebwe amesema vitambulisho hivyo ni faraja kwa wajasiliamali na kwamba vigawiwe kwa walengwa wanaostahili kwani vimetolewa na Mheshimiwa Rais wa awamu ya Tano kwa ajili ya wajasiriamali wadogo hivyo lisifanyike kisiasa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa