• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MKURABITA MKOMBOZI WA WAKULIMA - DC KILOSA

Posted on: August 22nd, 2018

Katika kuhakikisha watanzania wanakuwa na maisha bora na kufikia uchumi wa kati Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) imewawezesha wakulima wadogo 17 wa mashamba ya miwa kwa kuwawezesha kukopeshwa shilingi milioni 550 baada ya kurasimisha ardhi yao na kupata hati zilizowawezesha kukidhi vigezo na kukopeshwa fedha hizo na Benki ya Maendeleo ya Wakulima Tanzania(TAB) ili kuwasaidia kulima kilimo bora na chenye tija zaidi.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amebainisha hayo Agosti 21 mwaka huu mara baada ya kukabidhi hati miliki 312 kwa wananchi wa kijiji cha Magubike katika kata ya Magubike wilayani Kilosa ambapo amewataka wananchi hao kuzitunza hati hizo kwani ni sawa na pesa pindi zitakapotumiwa vizuri na kuwakwamua kiuchumi na kwamba licha ya benki ya TAB zipo benki nyingine zinazofanya hivyo na zimeonesha nia ya kusaidia wakulima wenye hati ili kukua kiuchumi .

Aidha Mgoyi ametoa rai kwa wananchi ambao wameshafanyiwa upimaji ardhi na kuwa na mpango bora wa matumizi ya ardhi kutumia fursa ya umiliki wa hati hizo kuondokana na umaskini kwani uwepo wa hati hizo unaepusha migogoro ya ardhi na unampa mmiliki fursa ya kupata mkopo,unaongeza uwepo wa amani na mmiliki  kujikomboa katika umaskini na unyonge.

Pamoja na hayo Mgoyi ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kutenga fedha kwa ajili ya kusaidia upimaji ardhi ambao utasaidia kuwepo kwa matumizi bora ya ardhi jambo litakalowasaidia kuwepo kwa matumizi ora ya ardhiambapo wananchi wengi watanufaika na hati hizo.

Naye mratibu wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Bi. Seraphia Mgembe amewataka wakurugenzi nchini kuwasaidia wananchi kwa kuwaunganisha na taasisi za kifedha ili wapate mikopo ambayo itawasaidia kuinuka kiuchumi sawa na kuwa na maendeleo ili kuunga mkono jitihada za Mheshimiwa Rais wa Tanzania za kufikia uchumi wa kati kwa watanzania.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA SHULE YA SEKONDARI MASANZE

    May 20, 2025
  • WATENDAJI NGAZI YA HALMASHAURI WATAKIWA KUWA WAADILIFU

    May 14, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa