• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MKUU WA WILAYA AZINDUA MIRADI ILIYOTEKELEZWA NA WORLD VISION

Posted on: June 29th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka amezindua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na shirika la World Vision katika kata za Zombo na Ulaya na kuwataka wananchi kuitunza miradi hiyo.

Miradi iliyozinduliwa ni pamoja miradi ya maji katika vijiji vya Zombo, Ulaya Mbuyuni na Madudumizi, ujenzi wa madarasa manne, Maktaba, jengo la utawala na madawati 120 katika shule ya msingi Madudumizi lakini pia ujenzi wa Zahanati na jengo la mama na mtoto katika kijiji cha Madudumizi ambayo ina thamani ya zaidi ya shilingi milioni 800 huku wananchi zaidi ya 1000 wakitarajiwa kunufaika na miradi hiyo.

Akihutumia katika sherehe za uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya Zahanati ya Madudumizi June 29, 2024, Mkuu wa Wilaya amelipongeza shirika la World vision kwa utekelezaji wa miradi hiyo na kuahidi kuwa serikali ya awamu ya sita itaendelea kushirikiana na wadau katika kuwaletea maendeleo wananchi.

Aidha amewataka wananchi ambao ni wanufaika wa miradi hiyo kuitunza ili iwe na tija kwao na hata vizazi vya baadae.

Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kilosa, Zakia Fandey ambaye ni Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa amesema kuwa Halmashauri itaendelea kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wadau wa maendeleo na kuahidi kuwa wao kama Halmashauri wataendelea kufuatilia ustawi wa miradi hiyo.

Akitoa salamu za shirika, Pudensiana Rwezaula ambaye ni Meneja wa shirika hilo kanda ya Kati na Nyanda za Juu Kusini ameshukuru serikali ya Wilaya kwa kuwapa ushirikiano wa kutosha wakati wa utekelezaji wa miradi hiyo huku akiwapongeza wananchi wa maeneo hayo kwa kuonesha ushirikiano wakati wa kutekeleza miradi hiyo.

Aidha ameutaka uongozi kuendelea kuwatambua watu wenye uhitaji na wenye kipato cha chini kuondolewa gharama za kupata huduma katika miradi hiyo hususani ghama za kupata huduma ya maji ili na wao wanufaike na miradi hiyo.

Naye diwani wa Kata ya Zombo Mhe. Lusinde Eliasi amelipongeza shirika la World Vision kwa Kuwaletea wananchi wake miradi hiyo ambayo imepunguza uhitaji kwa kiasi kikubwa na kuwaomba kuendelea kutekeleza miradi mingine katika maeneo ya kata yake.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa