• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MVUMI WAASWA KUZITUMIA FURSA ZINAZOJITOKEZA

Posted on: February 1st, 2020

Washiriki wa mafunzo kwa wakulima na wajasiliamali wadogo wadogo katika kata ya Mvumi wameshauriwa kujiunga katika ushirika lakini pia kuchapa kazi kupitia mafunzo waliyojifunza sambamba na kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais wa awamu ta Tano kwa kuanza kuzalisha mazao mengi kwa ajili ya majiji makubwa kupitia fursa ya reli ya mwendo kasi kwani kunatarajiwa kuwa na soko kubwa katika jiji la Dodoma na Dar es salaam.


Ushauri huo umetolewa na Katibu Tawala Wilaya Yohana Kasitila wakati wa kufunga mafunzo kwa wakulima na wajasiliamali wadogo wadogo wa vijiji vyan Mvumi na Gongwe yaliyoendeshwa chini ya uwezeshaji wa MKURABITA ambapo wametakiwa kutumia vyema mafunzo waliyoyapata ikiwemo kutumia fursa ya kuunganishwa na taasisi za kibenki  kwa kufungua akaunti na kuweka akiba kupitia miradi mbalimbali watakayoiendesha baada ya mafunzo hayo.

Kasitila amepongeza vijiji hivyo kwa kuwa na mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa kurasimisha mashamba yao ambapo amesema kuwa ni vema wananchi hao wakatumia fursa mbalimbali zinazojitokeza kupitia vikundi, ushirika na mkulima mmoja mmoja kwani hati miliki walizonazo baada ya kurasimisha mashamba zina faida kubwa ikiwemo kuwa na usalama wa miliki kwa kuiongezea thamani ya ardhi, kutumika katika mahakama mbalimbali kama dhamana, kupata mikopo katika taasisi za kifedha ambapo hati zinaweza kutumika kama dhamana na kupata fedha kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo kusomesha watoto na mambo mbalimbali.

Aidha amewataka kuwa chachu ya kuleta mabadiliko katika kata ya Mvumi kwa kuanza kubadilika kimtazamo kwa kuyafanyia kazi mafunzo waliyojifunza ili kupata tija katika maisha katika maeneo mbalimbali ikiwemo kujenga nyumba za kisasa, kukidhi matibabu na mahitaji mbalimbali ya kifamilia.

BAADHI YA WANANCHI WA KATA YA MVUMI WALIOPATA MAFUNZO WAKIMSIKILIZA MGENI RASMI

Pamoja na hayo amewataka wananchi kutambua kuwa zoezi la Uboreshaji daftri la Kudumu la Wapiga Kura, hivyo wananchi ambao hawajajiandikisha na wale wenye uhitaji wa kuboresha taarifa zao kuvifika katika vituo kwa ajili ya kujiandikisha na kuboresha taarifa zao ambapo zoezi linategemewa kufanyika wilayani Kilosa kwa siku saba kuanzia tarehe 03/02/2020 na kufika tamati tarehe 09/02/2020 ili kutopoteza haki ya kikatiba ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa