• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MWENGE WA UHURU WAAGWA KILOSA KWA KISHINDO, MIRADI YA BILIONI 1.8 YAZINDULIWA

Posted on: April 19th, 2025

Wilaya ya Kilosa leo 19 Aprili 2025 imekabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Wilayani Gairo, baada ya kukamilisha ziara ya siku moja,ya kuzindua, na kuweka mawe ya msingi katika miradi saba ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.8.


Awali katika mkesha wa Mwenge wa Uhuru uliofanyika katika viwanja vya Kilosa Town, Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Mhe. Shaka Hamdu Shaka, aliwasilisha taarifa ya huduma zilizotolewa usiku wa kuamkia Aprili 19, 2025 na kueleza kuwa watu 219 walipimwa virusi vya UKIMWI, ambapo wanaume wawili na mwanamke mmoja wamegundulika kuwa na maambukizi. A

Mhe Shaka pia amesema watu 201 walipimwa malaria, na wanawake wawili walikutwa na ugonjwa huo na katika kampeni ya uchangiaji damu, lengo lilikuwa kupata chupa 140, lakini chupa 157 zilikusanywa, sawa na unit 112.14.

Aidha Mhe Shaka ameongeza kwa kusema kuwa, watu 29 waligundulika kuwa na uzito uliopitiliza na akatumia fursa hiyo kuwashukuru wananchi kwa ushiriki wao na kumpongeza Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa mapambano dhidi ya UKIMWI, malaria, na lishe duni.

 Kwa upande wake Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndg. Ismail Ali Ussi, ametoa pongezi kwa viongozi wa serikali, vyama vya siasa, na wananchi wa Kilosa kwa mapokezi mazuri na ushirikiano waliouonesha katika shughuli za Mwenge wa Uhuru huku akisitiza umuhimu wa kutekeleza maelekezo yote yaliyotolewa ili kuharakisha maendeleo katika wilaya ya Kilosa.

Kwa sasa, Mwenge wa Uhuru unaendelea na mbio zake katika Wilayani Gairo utazindua na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo, huku ukiendelea kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo na uchaguzi mkuu ujao na April 20 utakabidhi kwa Mkuu wa mkoa wa Morogoro, ambapo makabidhiano ya kimkoa yatafanyika pia.

Tangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA WAHE. MADIWANI May 22, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WAUGUZI WATAKIWA KUWA WAADILIFU MAHALI PA KAZI

    May 30, 2025
  • WAHE. MADIWANI WAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 30, 2025
  • KILOSA YAJIPANGA KUTATUA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    May 28, 2025
  • VITENGO VYA HABARI SERIKALINI VIIMARISHWE KWA KUFANYA MAWASILIANO YA KIMKAKATI

    May 24, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa