• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

OPRAS INALETA MABADILIKO KATIKA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Posted on: January 25th, 2019

Imebainika kuwa mafunzo ya wawezeshaji wa uboreshaji wa opras  kwa walimu ngazi ya wilaya kwa waratibu elimu kata  wakuu wa shule na walimu wa kuu  yamefanyika wilkayani Kilosa lengo ikiwa kuboresha opras kwa walimu ili kuleta mabadiliko ya utendaji kazi katika utumishi wa umma ili kuinua kiwango cha ufaulu.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari Paula Nkane ambapo amesema mafunzo yameendeshwa na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa wawezeshaji hao kwa ngazi ya Wilaya ambapo  baada ya mafunzo hayo washiriki watawajibika kuwafundisha walimu madarasani  jinsi ya kujaza opras iliyoboreshwa ambayo  ni mpango wa kitaifa unaosimamiwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), TSC, PS3 na PS3FP.

Paula amesema kuwa mafunzo hayo yameendeshwa na wataalam toka Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ambao ni Afisa utumishi Wilaya, Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari, Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi na Katibu wa TSC.

Akitoa mafunzo hayo Afisa Utumishi Wilaya Noel K. Abel amesema kuwa opras ni utaratibu wa kumpima mtumishi utendaji kazi wake kwa kipindi cha mwaka mmoja ambao hufanyika kwa uwazi na kwa kufuata utaratibu ambao umebuniwa ili kumsaidia mwajiri na mtumishi katika kupanga mipango ya utekelezaji.

Abel amesema kuwa opras ina faida nyingi  kwa mtumishi na mwajiri wake ambapo miongoni mwa hizo ni mtumishi kupata hamasa ya kutekeleza malengo yake kwa ufanisi zaidi na kuwa na uboreshaji wa utendaji endelevu kwani utendaji huo unatambulika na menejimenti huku mwajiri akipata nafasi ya kujikita zaidi katika utekelezaji wa malengo ya taasisi, anafahamu jinsi ya kutoa tuzo ama adhabu kulingana na sifa na utendaji kazi wa mtumishi.

Akibainisha sifa za opras abel amesema opras ina sifa muhimu ambazo zinaweza kutofautishwa kiurahisi ikilinganishwa na mfumo wa siri wa kupima utendaji kazi kwa mtumishi kwani inazingatia uwazi, ushirikishwaji, uwajibikaji na umiliki.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa