• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

PROF. KABUDI AAGIZA MAENEO YA KITUO CHA MAENDELEO DAKAWA KUPIMWA NA KUPEWA HATI MILIKI

Posted on: February 8th, 2025

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof Palamagamba Kabudi ametoa agizo kwa Afisa Ardhi wa Wilaya ya Kilosa na wa Mkoa wa  Morogoro kupima eneo lote la Kituo cha Maendeleo Dakawa na mchakato wa kutoa hati miliki kisheria ukamilike na eneo lote la kituo ambalo halina mgogoro liwekewe uzio ili watu wasivuke na kufanya uvamizi.

Mhe. Prof Kabudi ameyasema hayo 08 Februari 2025 akiwa katika ziara yake ya kikazi ya siku moja Wilayani Kilosa ya kutembelea maeneo ya kihistoria katika Kituo cha Maendeleo Dakawa ambapo Mhe. Prof Kabudi amesema kuwa eneo ambalo lina mgogoro na lipo mahakamani waendelee kulishughulikia ili haki itakapopatikana utaratibu mwingine uendelee wa namna sahihi ya umiliki wa eneo hilo.

“Maeneo haya yapewe hati serikali ni moja sera ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuyalinda maeneo haya kwa matumizi ya leo lakini akiba kwa matumizi ya kesho”. Alisema Prof. Kabudi

Pia Prof. Kabudi amesisitiza kwa baadhi ya wananchi wanaoishi maeneo ya jirani na Kituo cha Dakawa kuacha kufanya uvamizi kwenye maeneo mbalimbali ya badala yake watafute utaratibu unaofaa kupata maeneo ya ardhi watakayoyatumia kwa matumizi mbalimbali.

Sambamba na hayo ameongeza kuwa zinatanza jitihada za baadhi ya maeneo ya kumbukumbu za wapigania Uhuru kama vile Dakawa, Mazimbu, Kongwa, Mgagao, Nachingwea na Bagamoyo yaingizwe katika sehemu ya urithi wa dunia chini ya shirika la Umoja wa Mataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) ili kuendelea kuwa na kumbukumbu zenye thamani na kuongeza utalii katika eneo hilo.

Mhe. Prof Kabudi amesema kuwa litajengwa jengo ili kuweza kuanzishwa kituo cha taarifa ili kufanya Wilaya ya Kilosa kama sehemu muhimu ya utalii wa kihistoria hivyo ameendelea kuwaasa wananchi kuacha kufanya uharibifu wa maeneo hayo kwani wakiyalinda yatawasaidia kwa matumizi ya baadae.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa