• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

PROFESA KABUDI KUSHIRIKIANA NA WANAKILOSA KUTATUA CHANGAMOTO KWA PAMOJA

Posted on: August 27th, 2020

Mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Profesa Palamagamba Kabudi Agosti 27 mwaka huu amewashukuru wanakilosa kwa dhamira ya dhati na imani waliyoonyesha ya kumwamini na kuridhia aliongoze jimbo la Kilosa Mjini mara baada kupita bila kupingwa huku akiwataka kutambua kuwa dhamira yake kuiongoza Kilosa ni kwa ajili ya kushirikiana na wanakilosa katika kutatua changamoto kwa pamoja.

‘’Sijaja Kilosa kutatua changamoto zenu bali nmekuja kutatua changamoto zetu yaani changamoto zangu na zenu hivyo napenda mfahamu nmekuja kushirikiana nanyi ili tutatue changamoto zetu kwa pamoja kwani nimedhamiria kuwa mtumishi wenu’’ Kabudi amesema.

Kabudi amesema kwa dhati ataitumikia Kilosa na kushirikiana na wanakilosa kutatua changamoto zilizopo huku akisema kuwa baada ya kufikia maamuzi ya kuwania nafasi ya ubunge  alitembelea kata 25 ili kuijionea uhalisia hususani katika miundombinu ya barabara ambapo baada ya kujionea tayari baadhi ya barabara katika kata za Lumbiji, Berega, Mabula, Magubike, Lumuma na Mamboya ziko vizuri.

Aidha amemshukuru Mungu kwa kumheshimisha lakini pia amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kwa namna alivyomwamini na kumteua kuwa mbunge na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki huku akitaja baadhi ya mikataba mbalimbali aliyowahi kuishughulikia kam waziri na kuleta tija kwa taifa hivyo anaamini wakati umefika wa kushirikiana na wanakilosa pasipokujali kabila, dini wala itikadi za vyama kwani maendeleo ni kwa ajili ya kila mwanakilosa.

Sambamba na hayo amesema ili kuwa na Kilosa mpya ya matumaini mapya ameomba ushirikiano wa dhati ili kufanya kazi pamoja ikiwemo kubaini tunu mbalimbali zilizopo Kilosa kama vile uwepo wa reli ambayo ni injini ya maendeleo huku akibainisha mambo mbalimbali yaliyopo katika ilani kwa tija ya Kilosa kama vile umaliziaji wa baadhi ya barabara kama ya Kilosa- Mikumi na nyinginezo, kuwepo kwa miradi ya maji, mradi wa ufugaji wa kisasa, utotoaji vifaranga vya kuku kwani reli zitakapokamilika mahitaji mbalimbali yataongezeka na kuwa Wilaya ya Kilosa ni ya kimkakati.

Naye mgombea wa jimbo la Mikumi kupitia CCM Denis Londo amesema amefarijika kwa heshima kubwa waliyoionyesha wanakilosa husasni kwa mgombea wa jimbo la Kilosa kupita bila kupingwa kwani Profesa Kabudi ni tunu na kwamba anaamini ifikapo Oktoba 28 heshima ya jimbo la Mikumi, Kilosa na mkoa wa Morogoro vitarejea na wamejiandaa kujibu changamoto za wananchi kupitia ilani ya uchaguzi ya CCM ambapo pia Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi akitoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi pindi Mheshimiwa Rais atakapofanya kampeni zake wilayani Kilosa zinazotarajiwa kufanyika katika kata ya Dumila na Kilosa mjini pindi itakapotangazwa ili waweze kusikiliza sera za CCM.



Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 KWA SHULE ZA SEKONDARI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA July 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI September 16, 2023
  • ZABUNI January 31, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • KILOSA KUDUMISHA USAFI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    September 20, 2023
  • TIMU YA UKAGUZI MKOA YATEMBELEA MIRADI YA BOOST KILOSA

    September 20, 2023
  • MAPATO YA HALMASHAURI YAONGEZEKA KUTOKA ASILIMIA 94 MPAKA ASILIMIA 98.91

    September 01, 2023
  • Walimu watakiwa kuendelea kuzifahamu huduma za kibenki

    August 29, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa