• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Program ya Dunia yangu bora kuleta tija kwa wanafunzi

Posted on: June 5th, 2022

Mtandao wa CAMA umekuwa ni msaada mkubwa kwa wasichana mbalimbali ambao wamekuwa wakifadhiliwa na CAMFED ambayo imekuwa ikijishughulisha na kuwafadhili wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi lengo ikiwa ni kuwasaidia kufikia malengo yao hususani katika masomo na stadi mbalimbali za maisha.

Hayo yamebainishwa na Grace Stephano ambaye ni mmoja wawezeshaji wa progam ya Dunia Yangu Bora ambayo inalenga kuwasaidia wanafunzi wakike na wakiume ili waweze kujitambua, kujiamini, kupunguza utoro mashuleni na kupenda Elimu kwa kuhakikisha anafikia malengo yake shuleni lakini pia kuweza kuyafikia malengo yake ya kimaisha.

Akieleza zaidi namna program ya Dunia Yangu Bora inavyofanya kazi Frida Msongamwanja ambaye ni mmoja wa wawezeshaji wa program hiyo amesema program hiyo inafundishwa kwa wasichana waliofadhiliwa na CAMFED ambapo wataipeleka Elimu hiyo mashuleni kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi kupunguza utoro mashuleni, kuongeza ufaulu kwa wanafunzi, kujifunza stadi za maisha ambapo wawezeshaji watapangiwa shule za sekondari zenye mradi wa camfed ili kutoa elimu na kuwasaidia wanafunzi.


Kwa niaba ya wana cama wenzao Christina Mwihuva na Amina Richard wamesema kupitia program ya Dunia Yangu Bora wamejifunza mambo mbalimbali ikiwemo kujithamini, kujitambua na kuwa mfano wa kuigwa katika jamii na kwa wanafunzi kimatendo, mwenendo pamoja na kuwasaidia kubadilika kutoka kwenye mfumo hasi kuelekea mfumo chanya lakini pia namna ya kujikimu kimaisha kwa kujiajiri badala ya kubweteka na kusubiri kutafutiwa hususani kwa watoto wakike kwani maisha kwa sasa yamebadilika.

Aidha  wamesema kuwa wanaamini kupitia program hiyo na mafunzo hayo ya siku tisa waliyoyapata italeta badiliko kubwa katika maisha yao na kwa wanafunzi wanaotarajia kuwafundisha kwani itamsaidia mwanafunzi kujiamini, kujitambua, kujithamini na kupenda masomo jambo litakalosaidia kuongeza ufaulu mashuleni lakini pia hata wanafunzi watakapomaliza masomo watakuwa na elimu ya stadi za maisha ambayo itakuwa msaada kuwawezesha kujikimu kimaisha kwa kujiajiri badala ya kukaa bila shughuli yoyote.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa