• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Program ya Dunia Yangu Bora Yawa Chachu Njema Mashuleni

Posted on: August 11th, 2022

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kuhakikisha kila wanafunzi wanaendelea vema na masomo na kumaliza vema elimu yao CAMFED imekuwa ikiendesha program ya Dunia Yangu Bora mashuleni programu inayolenga kumsaidia mwananfunzi kujifunza mambo mbalimbali na kuhakikisha pindi mwanafunzi anapomaliza elimu yake anakuwa na uwezo wa kujitegemea na kuwa mwanajamii wa kuigwa.

Akieleza utekelezaji wa program hiyo mashuleni kupitia waongozaji wa wanafunzi waliofadhiliwa na CAMFED Mratibu wa CAMFED Wilaya ya Kilosa Zamoyoni Selemani amesema program hiyo hufundishwa kwa wanafunzi kupata elimu ya stadi za maisha imekuwa chachu ya kuwafanya wanafunzi kupenda shule jambo linalosaidia kupenda shule lakini pia imesaidia kupunguza utoro mashuleni na uwepo wa mimba.

Wakizungumzia mrejesho wa program ya Dunia Yangu Bora upande wa mafanikio waongozaji wa wanafunzi wamesema imekuwa msaada mkubwa kwa wanafunzi na jamii kiujumla kwani imesaidia kupungua kwa kiwango cha utoro mashuleni, kiwango cha mimba kimepungua, walimu katika shule husika na wazazi/walezi wamekuwa wakitoa ushirikiano lengo ikiwa ni kihakikisha wanafunzi wanahudhuria mashuleni lakini pia wao kwa nafasi ya waongozaji wanaheshimika na kuaminika katika jamii kwa kushirikishwa katika shughuli za kimaendeleo na vikao vya kimaamuzi.

Upande wa changamoto wamesema baadhi ya walimu wamekuwa na mwamko mdogo kutoa ushirikiano kwa waongozaji wa wanafunzi na kutochukulia uzito program hiyo kwa kuona haina tija kwa wanafunzi na jamii, lakini pia baadhi ya wazazi na jamii imekuwa ikitoa ushirikiano mdogo pindi mwanafunzi anapopata ujauzito kwa kuhofia kugundulika endapo watatoa ushirikiano kwa kuweka wazi wahusika huku wakitoa ushauri kwa wakuu wa Idara ya Elimu Msingi na Sekondari kuendelea kutoa elimu kwa walimu walio chini yao kwa kuwapa elimu ya umuhimu wa program hiyo ili wafahamu tija yake kwa jamii na wanafunzi kiujumla.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa