• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

RC MALIMA AMEWATAKA WADAU MBALIMBALI KUENDELEA KUWACHANGIA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KILOSA

Posted on: December 23rd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adamu Malima amewaomba wadau kuendelea kuwachangia waathirika wa mafuriko wilayani Kilosa kwani Bado wanahitaji misaada  mbalimbali.

Mhe. Malima ameyasema hayo Disemba 22, 2023 katika hafla  maalumu ya kupokea ripoti ya tathmini ya athari za mafuriko iliyofanyika katika ukumbi wa MT Mjini Kilosa na kuwakutanisha viongozi mbalimbali wakiwemo wabunge wawili wa Jimbo la Kilosa prof. Palamagamba Kabudi na Mhe. Denis Rondo ambaye ni mbunge wa Jimbo la Mikumi.

Mhe. Malima amesema kuwa misaada yenye thamani ya zaidi ya milioni mia mbili imekusanywa na kugawiwa Kwa waathirika wa mafuriko hayo ikijumuisha vifaa vya ndani, nguo, magodoro, mashuka mikeka pamoja na vyakula.

Ameongeza kuwa Bado milango Bado ipo wazi Kwa wale wenye Nia ya kuwachangia waathirika hao ambapo utaratibu uliopo ni kuwa michango hiyo hukusanywa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ambaye ni Mwenyekiti wa maafa wa Wilaya.

Akiwasilisha ripoti hiyo Kwa mkuu wa Mkoa, mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka amesema kuwa zaidi ya bilioni mbili zinahitajika Ili kujenga upya Miundombinu iliyoharibiwa na mafuriko hayo zikiwemo Barabara, madaraja, vyoo na marekebisho ya miundombinu ya maji.


Ameongeza kuwa kamati iliyofanya tathmini hiyo inashauri mamlaka kuweka alama za tahadhari maeneo yote ya hifadhi za maji na barabara.

Kwa upande wao wabunge wawili akiwemo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi ambaye ni mbunge wa Jimbo la Kilosa na Mhe. Denis Rondo ambaye ni mbunge wa Jimbo la Mikumi wamewata wenye mamlaka kutafuta suluhisho la kudumu ikiwa ni kutoa Elimu Kwa wananchi Ili waache kufanya shughuli za kilimo na kujenga kwenye hifadhi za mito.

Awali mkuu wa Mkoa huyo amefanya ziara katika maeneo yaliyoathirika na mafuriko lakini pia madaraja yanayotengenezwa na Yale yanayoathirika na mafuriko likiwemo daraja la Dumila, Ilonga, mazinyungu na la moto Mkondoa na kutaka mamlaka za maji Bonde la maji Wami-Ruvu pamoja na TANROADS kujenga mabwawa ya kuvuna maji ya mito hiyo Ili yatumike kwenye shughuli za kilimo,Aidha amewataka wananchi kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika Kingo za mito.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa