• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

RC MALIMA AMEWATAKA WAFANYAKAZI KUFANYA KAZI KWA JUHUDI ILI KULETA TIJA MAHALA PA KAZI NA TAIFA KWA UJUMLA

Posted on: May 1st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adamu Kighoma Malima amewataka wafanyakazi  kufanya kazi kwa juhudi na  maarifa huku wazithamini na kuzi heshimu kazi zao ikiwa ni pamoja na kuacha vitendo  visivyo vya kinidhamu kazini kama vile wizi na uvivu.

Ametoa kauli hiyo wakati akihutubia Wafanyakazi na Wananchi kwa ujumla katika  Maadhimisho ya siku wa Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, 2024 ambayo Kimkoa yamefanyika mjini Ifakara  ambapo pamoja na mambo mengine amesema kila Mfanyakazi anapaswa kuwa mwangalizi na mshauri wa mwenzake ili kuleta tija katika kituo cha kazi na Taifa kwa ujumla.

 Akijibu Hoja zilizosomwa kwenye Risala ya Wafanyakazi amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita imekuwa ikifanya Jitihada mbalimbali za kuboresha Sekta ya ajira ikiwa ni pamoja na kuajiri watumishi wapya,kupandisha vyeo,lakini pia kuanzisha Mahakama Kuu kanda ya Morogoro ili kusikiliza na kutatua mashauri na kesi mbalimbali kuhusiana na ajira na Watumishi ndani ya Mkoa wa Morogoro.

Mhe. Malima pia amemwagiza Kamishna wa Kazi Mkoa wa Morogoro kupita mara kwa mara kwenye maeneo ya kazi ili aweze kujua changamoto zinazowakabili  wafanyakazi lakini pia kumaliza migogoro ihusuyo Mikataba ya ajira.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa amewapongeza Wafanyakazi waliotunukiwa vyeti vya utumishi Hodari na kuwataka kujituma zaidi ili kutoa hamasa kwa wenzao.

Akitoa salamu za Mei Mosi, Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA)Mkoa  wa  Morogoro  Jumanne Nyakirang’ani amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kwa kukubali  kuwa mgeni rasmi katika sherehe hizo,Aidha amewashukuru waajiri wote ndani ya Mkoa  kwa kuendelea kushirikiana vyema katika kutatua changamoto za wafanyakazi.

Akisoma Risala kwa Mgeni rasmi Nicolaus Ngowi ambaye ni Mratibu wa TUCTA Mkoa wa Morogoro amezitaja hoja  ikiwa ni pamoja na kuitaka Serikali kupunguza kodi kwa Waajiri hususani sekta binafsi, kufanyika upya kwa majadiliano juu ya kikokotoo, kadhalika Bima za Afya kwa Wastaafu na uwepo wa Mikataba rasmi kwa Wafanyakazi wa Sekta binafsi pamoja na kuchelewa kwa suluhu juu ya Migogoro ya Wafanyakazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa