• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

Posted on: May 1st, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewataka waajiri Mkoa wa Morogoro kuendelea kutatua changamoto za wafanyakazi wao ili kuleta mabadiliko mahali pa kazi kwa maslahi mapana ya wafanyakazi na Taifa zima kwa ujumla.

Wito huo umetolewa Mei 1, 2025 wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yenye kaul;I mbiu isemayo “Uchaguzi  Mkuu 2025, Utuletee viongozi wanaojali haki na maslahi ya wafanyakazi sote tushiriki”. Maadhimisho hayo yamefanyika uwanja wa Jamhuri ulipo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Mhe. Malima amesema kuna umuhimu wa waajiri kuwajali na kuwathamini wafanyakazi waokwa kuwatatulia changamoto wanazokumbana nazo ili kuweza kuwapa motisha ya kufanya kazi kwa bidii na kuiletea Taasisi husika  husika maendeleo.


“Nichukue fursa hii kuwaelekeza waajiri wote wa sekta binafsi katika mkoa wa morogoro kutatua changamoto za wafanyakazi wao “Amesisitiza Mhe. Adam Malima

Aidha, Mhe. Malima ameitaka Ofisi ya Afisa Kazi Mkoa kufanya ukaguzi wa mara kwa mara kwenye maeneo ya kazi ili kujiridhisha kama mikataba ya wafanyakazi inazingatia sheria za kazi na kubaini wanaovunja sheria.

Sambamba na hayo Mkuu huyo wa Mkoa amewataka viongozi wa OSHA Mkoani umo kuhakikisha wanashughulikia malalamiko ya wafanyakazi na kuwachukulia hatua zaq kisheria waajiri wote wanaokiuka misingi ya kisheria na kukomesha baadhi ya tabia za waajiri kukiuka na kuwakandamiza wafanyakazi.


Kwa upande wa wafanyakazi kupitia risala iliyosomwa mbele ya mgeni rasmi , wameiomba serikali kushughulikia changamoto zikiwemo madai mbalimbali ya wafanyakazi yakiwemo yanayohusu likizo, uhamisho, matibabu, kukaimu, kujikimu,stahiki za ajira mpya na malimbukizi ya mishahara.  

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa