• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

RC MORO AWACHUKULIA HATUA WENYEVITI WA VITONGOJI MIKUMI

Posted on: January 7th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amekemea vikali kitendo kilichoonyeshwa na wanyeviti wa vitongoji 21 katika mamlaka ya Mji Mdogo Mikumi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kushiriki katika ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa katika shule ya sekondari Mikumi ambapo amemuagiza Mkuu wa polisi wilaya ya kipolisi Ruhembe(OCD) kuwaweka ndani wenyeviti hao kwa kuonyesha lengo la kutofanikisha ujenzi wa madarasa hayo ambayo yanategemewa kutumiwa na wanafunzi wanaotarajia kuanza kidato cha kwanza shuleni hapo.

                                                                                                MKUU WA MKOA WA MOROGORO LOATA OLE SANARE

Agizo hilo limetolewa Januari 6 mwaka huu wakati alipokuwa katika ziara yake wilayani Kilosa ambapo amesema ziara yake hiyo ni katika utekelezaji wa agizo la Serikali lililotolewa na Waziri Mkuu  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa  la kutaka wanafunzi wote waliofaulu mitihani ya darasa la saba kuwa madarasani  pindi shule zitakapofunguliwa Januari 11, hivyo kila mkoa  unapaswa kuhakikisha  wanafunzi  hawakosi vyumba vya madarasa pamoja na viti na meza vya kukalia.

                                                                                                MBUNGE WA JIMBO LA MIKUMI MH. DENNIS LONDO

Loata amesema shule hiyo inatarajiwa kupokea wanafunzi 432 ambao wamepangwa katika shule hiyo  hivyo ametaka kasi ya ujenzi kuongezeka iwemo kufanyika  jitihada za kumaliza ujenzi huo kadri inavyowezekana na kwamba hatarajii  wanafunzi hao kukosa madarasa ya kusomea huku akitaka wenyeviti hao baada ya kukamatwa wafikishwe eneo la ujenzi kushiriki wao wenyewe katika kazi ya ujenzi kwani wameshindwa kuhamasisha  walio katika maeneo yao na kwamba atapita eneo hilo kwa ajili ya ukaguzi wa utekelezaji wa agizo hilo.

BAADHI YA VIONGOZI WA WILAYA, HALMASHAURI NA KATA YA MIKUMI WAKIJADILIANA JAMBO FULANI KUHUSU UJENZI WA MADARASA SHULE YA SEKONDARI MIKUMI HUKU UJENZI UKIENDELEA.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa