• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

RELI YA SGR MKOMBOZI KWA WASAFIRI NA WASAFIRISHAJI KILOSA

Posted on: May 31st, 2024

 Reli ya mwendokasi (SGR), wilayani Kilosa itaanza shughuli zake za  usafirishaji hivi karibuni na kupelekea  mabadiliko makubwa ya maendeleo ambapo reli hiyo itarahisisha shughuli za usafirishaji kwa wafanyabiashara na kuinua uchumi wa Kilosa.

Hayo yameelezwa 31 Mei, 2024 na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka H. Shaka katika Mkutano wa Baraza la Biashara Wilaya ya Kilosa uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa.

Akiongoza Mkutano huo kama Mwenyekiti, Mhe. Shaka amesema reli hiyo ya kisasa yenye vituo vitatu wilayani humo, mara baada ya kuanza shughuli za usafiri na usafirishaji itasaidia kwa kiwango kikubwa kurahisisha masuala ya usafirishaji kwa wafanyabiashara kutokana na changamoto za barabara wilayani humo kwamba si rafiki na zinapelekea kukwamisha baadhi ya shughuli za usafiri.

Pia Mhe. Shaka ameongeza kuwa Wilaya ya Kilosa ni miongoni mwa wilaya inayozalisha mazao ya kimkakati kama vile mkonge, mchikichi, karafuu, miwa nk ambapo amewataka wataalamu kuendelea kuhamasisha wakulima kuzalisha mazao hayo pia kufanya tafiti zenye tija zitakazopelekea uzalishaji kuongezeka ili  kuinua kipato cha wakulima na wafanyabiashara.

 Kwa upande wake Afisa Biashara Mkuu Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro Bi. Flora Yongolo ameshauri kuudwa kwa  kamati mbili tendaji ambayo  ni kamati kazi itakayosaidia kuongoza katika majadiliano shirikishi ya kimkakati  na kikosi kazi cha kuibua fursa za uwekezaji.

Aidha, Mhe. Shaka amewashukuru wadau mbalimbali walioshiriki kwenye mkutano huo na kusema kuwa amepokea ushauri, mapendekezo na maoni mbalimbli yaliyotolewa  kwa lengo la kuyafanyia kazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa