• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

RIPOMA kuwatoa kimasomaso wakulima wa mpunga wilayani Kilosa

Posted on: February 3rd, 2018

Imebainika kuwa historia ya maisha ya upotevu wa mazao kwa wakulima wa zao la mpunga inaeekea kufikia ukingoni baaada ya mradi wa RIPOMA yaani Mradi wa Kudhibiti Upotevu wa Mpunga kutoka Uvunaji hadi kwa Mlaji kwa Kuboresha Uvunaji , Uhifadhi , Usindikaji na Kuboresha Masoko kutua mkoani Morogoro katika wilaya za Mvomero na Kilosa.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Msaidizi wa shirika la Helvetas Bw. Daniel Kalimbiya wakati wa uzinduzi rasmi wa mradi huo wilayani Kilosa na kusema kuwa lengo kuu la mradi ni kuchangia maendeleo na kupunguza umaskini wa kipato kwenye ukanda wa SAGCOT kwa kuboresha mnyororo wa thamani na masoko ya zao la mpunga ili kuwanufaisha wakulima wadogo.

’’Wakati wa uendeshaji mradi huu tumejikita zaidi katika kuwajengea uwezo na kutoa mafunzo kwa wadau juu ya maswala ya udhibiti wa upotevu wa mpunga, kuongeza ushiriki wa sekta binafsi na serikali katika maswala yanayohusu udhibiti wa upotevu wa mpunga kwenye mnyororo wa thamani, kujenga uelewa juu ya sera ya taifa ya maendeleo ya sekta ya mpunga na kushawishi uwepo wa sera ya kudhibiti upotevu wa mpunga nchini, kuanzisha na kuwezesha shughuli za kuweka akiba na kukopa kwa makundi ya wazalishaji pamoja na kuboresha mifumo ya uzalishaji wa mpunga maghalani na uboreshaji ama ujenzi wa maghala  mapya hasa kwenye maeneo yenye tija ya uzalishaji”. Amesisitiza Kalimbiya

Aidha Kalimbiya amesema kuwa mradi ni wa miaka tatu ulianza Julai 2017 hadi Juni 2020 ambapo unalenga kunufaisha kaya 3000, makundi ya wakulima 100 na jumla ya walengwa  wa moja kwa moja 15,000 ifikapo 2020, na kuwa msisitizo wa mradi huu ni kwa wanawake na vijana, ambapo wilayani Kilosa unafanya kazi katika kata za Ludewa, Kilangali, Msowero na Chanzuru huku wilayani Mvomero ukifanya kazi katika kata za Dakawa-Mlali, Mvomero, Mkindo-Hembeti, Sungaji na Mtibwa –Kanga.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe S. Kebwe amelishukuru shirika la Helvetas na kusema kuwa Mkoa wa Morogoro una takribani hekta milioni mbili zinazofaa kwa kilimo na amewataka wakulima kuchangamkia fursa ya kilimo hasa cha mpunga kwani soko la mpunga na mchele lipo la kutosha na kupitia elimu inayoendelea kutolewa na Helvetas kupitia mradi wa RIPOMA anaamini wakulima wengi watainuka kiuchumi na amezidi kusisitiza kuacha uvivu wa kimwili na kiakili kwani wataalam wapo, elimu ni bure, hivyo ni vema tukakubali mabadiliko na kuachana na kilimo cha mazoea ambacho hakina tija...

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa