• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI ZINATEGEMEANA

Posted on: August 26th, 2020

Sekta ya umma na sekta binafsi ni sekta ambazo zinategemeana hususani katika masuala mbalimbali ikiwemo ukuaji wa shughuli mbalimbali za kiuchumi ambapo Serikali inashughulikia masuala ya kijamii na masuala mengine huku sekta binafsi ikijihusisha zaidi na masuala ya kibiashara.

Hayo yamebainishwa Agosti 26 mwaka huu  na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi wakati akifungua kikao cha baraza la biashara ambapo amesema sekta hizo ni sekta zinazotegemeana na kwamba kutokana na mfumo wa kiuchumi wa nchi ya Tanzania biashara kwa asilimia kubwa zinafanywa sekta binafsi huku Serikali ikifanya masuala makuu ya kijamii na kurahisisha shughuli za kibiashara kufanyika.

Mgoyi amesema kupitia baraza la biashara yapo masuala mbalimbali upande wa Serikali na sekta binafsi yamekuwa na changamoto  lakini kupitia baraza hilo wadau hukutana na kupata mchango mkubwa wa mawazo ambao hupelekea kupata tija kwa maslahi ya pande zote mbili kwani  setkta hizo zinategemeana kwa kiasi kikubwa.

Naye Mtendaji wa chemba ya biashara, viwanda na kilimo Mkoa wa Morogoro Moumin Mwatawala akieleza mwongozo wa baraza la biashara amesema baraza hilo ni jukwaa la rasmi la majadiliano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi  linalofanyika katika ngazi ya wilaya. Mkoa na taifa ambapo washiriki wake hutoka pande zote mbili huku akisema kuwa mfumo wa baraza hilo huongozwa na Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa au Rais kulingana na ngazi ya baraza na kwamba majadiliano huongozwa na mwenyekiti ambaye kwa mujibu wa mwongozo hapaswi kufungamana na upande wowote.

Akitoa taarifa ya mfumo wa upimaji wa wazi wa halmashauri wenye lengo la kuweka mazingira wezeshi upande wa biashara Afisa Biashara Wilaya Idrisa Jukulu amesema mfumo huo unalenga kupima uwezo wa Hamashauri na kuzishindanisha kwa kuzingatia vipimo vya vipengele muhimu 12 ikiwemo kiunzi cha kisheria, ushiriki na mwitikio, mazingira ya kibali, kodi na ada, huduma za mamalaka ya Serikali za Mitaa, huduma za maendeleo ya biashara, miundombinu ya mamlaka ya Serikali za Mitaa, mpango wa matumizi ya ardhi, upataji fedha, uongozi na utawala na jinsia na vijana.


Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 KWA SHULE ZA SEKONDARI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA July 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI September 16, 2023
  • ZABUNI January 31, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • KILOSA KUDUMISHA USAFI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    September 20, 2023
  • TIMU YA UKAGUZI MKOA YATEMBELEA MIRADI YA BOOST KILOSA

    September 20, 2023
  • MAPATO YA HALMASHAURI YAONGEZEKA KUTOKA ASILIMIA 94 MPAKA ASILIMIA 98.91

    September 01, 2023
  • Walimu watakiwa kuendelea kuzifahamu huduma za kibenki

    August 29, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa