• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

SERIKALI YATENGA SHILINGI BILIONI 2.5 KWA AJILI YA UKARABATI WA BARABARA KUTOKA RUAHA MBUYUNI HADI KATA YA ULELING'OMBE

Posted on: October 8th, 2023

Wakala wa barabara vijijini (TARURA) Wilaya ya Kilosa imetenga kiasi cha shilingi Bilioni 2.5 kwa ajili ya ukarabati wa Barabara yenye urefu wa kilometa 78 kutoka Ruaha mbuyuni hadi kata ya Ulelin`gombe.

Akizungumza wakati wa Mkutano wa Hadhara katika kata ya Uleling’ombe Kaimu Meneja wa TARURA Wilaya ya Kilosa Badi Noah amesema tayari mchakato umekamilika ambapo kuanzia sasa wataalam wanaanza kufanya upembuzi yakinifu.

Amesema kuwa kata hiyo ipo umbali Zaidi ya kilometa miamoja kutoka makao makuu ya Wilaya hivyo Serikali imeona kuna haja ya kuharakisha zoezi hilo ili Wanananchi waweze kupata huduma ya usafiri na kusafirisha mazao kwenda sokoni.

Noah amesema kuwa Barabara hiyo imekuwa changamoto kwa muda mrefu na wananchi wamekuwa wakipita kwa shida hivyo Serikali imeliona hilo na kutoa kiasi hicho cha fedha kwaajili ya matengenezo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe.Shaka Hamdu Shaka amesema kuwa licha ya Serikali kutoa kiasi hicho cha Fedha kwaajili ya ujenzi wa barabara, Wilaya ya Kilosa ina jumla ya Vijiji 138 na kwamba ifikapo mwishoni mwa mwezi Oktoba 2023, vijiji vyote vitakuwa vimepata umeme kwani mpaka sasa vitongoji 400 vimepata huduma ya umeme kati ya vitongoji 811 vilivyopo Wilayani hapa.

Sambamba na hayo Mkuu wa Wilaya amewataka viongozi wa Vijiji na kata kutoa taarifa kwa Wananchi juu ya mipango ya Serikali katika kutoa huduma kwa wananchi kwani hiyo itapunguza malalamiko.

Kwa upande wake Katibu wa CCM Wilaya ya Kilosa Shabani Mdoe amewataka viongozi wa Chama hicho kusimamia watendaji wa Serikali hususani ngazi ya Vijiji na kata ili waweze kutatua changamoto za Wananchi.

Tangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO YA UDEREVA WA MAGARI, PIKIPIKI NA BAJAJI September 30, 2025
  • TANGAZO LA TOZO September 10, 2025
  • TANGAZO LA KUKODISHA MASHAMBA YA HALMASHAURI September 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA November 23, 2023
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WANANCHI WILAYANI KILOSA WAHIMIZWA KUFANYA UCHUNGUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI

    October 01, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI NGAZI YA SHULE WATAKIWA KUFANYA TATHMINI KWA KILA HATUA YA UJENZI

    September 28, 2025
  • KILOSA YAFANIKIWA KUCHANJA MBWA WENGI KATIKA WIKI YA KICHAA CHA MBWA

    September 28, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MAGUHA KUNUFAIKA NA MASHINE YA KUCHUJA ASALI

    September 21, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa