• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

SHIRIKA LA SAWA LAFANIKIWA KULETA MABADILIKO CHANYA KWA WANAJAMII KILOSA

Posted on: August 24th, 2018

Mradi wa Waridi kupitia Shirika la Sanitation and Water Action (SAWA) umeonekana kuwa mkombozi na mwelimishaji wa masuala ya kujengea watu uwezo lengo ikiwa ni kuhakikisha afya za watu zinaboreka hasa katika sekta ya usafi wa mazingira ikiwemo ujenzi wa vyoo bora, utupaji sahihi wa taka ngumu, unawaji mikono nyakati muhimu pamoja na usafi wa mazingira.

Hayo yamebainishwa na Katibu Tawala Wilaya ya Kilosa Yohana Kasitila wakati wa kufungua kikao cha kurejea mpango wa uendelevu wa mradi na kutoa mapendekezo ya nini kifanyike ili kuhakikisha maisha ya wananchi yanaendelea kuwa bora.

Kasitila amesema kuwa hadi sasa Shirika la SAWA limekuwa msaada mkubwa kwa wilaya kwani maeneo yote yaliyopitiwa na mradi yameonyesha mabadiliko chanya hasa baada ya jamii kuonekana kubadilika  baada ya kupata elimu na kuwa bora  katika ujenzi wa vyoo bora vinavyosafishika, utupaji taka sahihi pamoja na kuzingatia unawaji mikono kwa nyakati sahihi kwa kutumia vibuyu chirizi.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile. Mwambambale amemwagiza Mkuu wa Idara ya Maji kuangalia kwa kina mema yaliyofanywa na shirika la SAWA ambao muda wa mkataba wao umekwisha baada ya kufanya kazi Kilosa kwa mwaka mmoja  ili kuyaendeleza  na kuendelea kuihamashisha jamii kuendelea kuifanyia kazi elimu waliyopata na kuendelea kutoa elimu kwa wengine ili elimu hiyo iwe endelevu.

Naye Mkurugenzi wa Shirika la SAWA Mhandisi Charles Zacharia  amesema katika tathmini yao kupitia mradi wamefanikisha uongezeko la ujenzi wa vyoo bora kutoka 35% hadi 45.37%, ongezeko la jamii kunawa mikono nyakati muhimu toka 24.2% hadi 39.92%, ufufuaji wa visima vilivyokufa na uwepo wa wataalam wa kuchukua taarifa za usafi wa mazingira. 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa