• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

SHULE MPYA 234 ZA MRADI WA SEQUIP KUPATIWA VIFAA VYA MAABARA

Posted on: April 15th, 2023

Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) umeomba kuidhinishiwa tsh. bilioni 25.34 kwa ajili ya kununua vifaa vya maabara kwa shule mpya 234 za kata na kuendelea na utekelezaji wa uboreshaji wa Elimu ya Sekondari na shughuli nyingine.

Hayo yameyasemwa Aprili 14, 2024 Jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa( TAMISEMI) Mhe. Angellah Kairuki wakati akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa mwaka wa fedha 2023/24.

Akifafanua maombi ya fedha hizo zilizoombwa kuidhinishiwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ni pamoja na kununua vifaa vya maabara na kemikali kwa ajili ya shule mpya 234 za Sekondari za Kata zinazojengwa katika Halmashauri.

Waziri Kairuki ameongezea kwa sema fedha hizo pia zimepangwa kununua vifaa vya TEHAMA kwa ajili ya shule 1,000 za sekondari za kata kwa ajili ya kuboresha ufundishaji na ujifunzaji, kufanya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa mradi katika maeneo ya ujenzi wa shule mpya za sekondari, kuwezesha utendaji kazi wa Ofisi ya Rais –TAMISEMI katika utekelezaji wa mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari.

Pia amesema zitasaidia kuwezesha utangazaji wa shughuli zinazotekelezwa na Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) kwa wananchi ili waweze kufahamu jitihada zinazofanywa na Serikali katika kuboresha elimu ya sekondari nchini na kuwezesha kuwajengea uwezo watumishi 68 wa Idara ya Usimamizi wa Elimu katika masuala yahusuyo ufuatiliaji na Tathmini ya utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP).

Aidha, Mhe.Kairuki baada ya kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa mwaka wa fedha 2023/24 ameliomba Bunge kuridhia kuidhinishiwa sh. trilioni. 9.1 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za Ofisi ya Rais – TAMISEMI.



Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI

    June 05, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kufanya marejesho kwa wakati

    June 02, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kurejesha kwa wakati

    June 02, 2023
  • Shaka aahidi kushirikisha wananchi utatuzi wa changamoto

    May 31, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa