• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Simamieni ipasavyo matumizi ya rasilimali za Umma

Posted on: March 18th, 2021

Wasimamizi wa ngazi ya kata, watendaji na vijiji pamoja na waratibu elimu kata wametakiwa kusimama katika majukumu yao ipasavyo hususani katika matumizi ya rasilimali za umma jambo litakalosaidia rasilimali hizo kutumika ipasavyo huku wakitakiwa kuwa shirikishi kwa wananchi ili kuepusha migogoro na malalamiko toka kwa wananchi kutokana na usimamizi mbovu.

Rai hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Rwegerela Katabaro ambapo amesema watendaji hao wanao wajibu wa kutatua changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika maeneo yao na kwamba wanao wajibu wa kuhakikisha changamoto hizo zinaisha ama kupungua.

Naye Mkurugenzi wa taasisi ya Dira Erasmo Tullo amesema Ili kukabiliana na changamoto mbalimbali katika kusimamia kikamilifu rasilimali za umma jamii na viongozi wanapaswa kuwa na uwazi jambo linalosaidia kuwa na matokeo chanya kwani uwepo wa uwazi hupelekea jamii kuwa na ushiriki mzuri ambapo miongoni mwa mambo yanayopaswa kuwa wazi ni usomaji wa taarifa za mapato na matumizi , ufanyikaji wa mikutano stahiki katika vijiji na mashuleni na kubandika taarifa za mapato na matumizi maeneo husika.

Tullo amesema licha ya uwepo wa changamoto lakini pia katika kata ambako taasisi hii inashiriki katika kuhakikisha kunakuwa na usimamizi yapo mafanikio yaliyojitokeza ambayo yamebainishwa na watendaji wa kata za Tindiga, Kilangali, Mabwerebwere na Ulaya ikiwemo upatikanajni wa chakula mashuleni kwa baadhi ya shule, ujenzi wa vyumba vya madarasa upatikanaji wa walimu wa ziada wa kujitolea, baadhi ya maneno yamekuwa yakibandika taarifa katika ofisi za vijiji na mashuleni, ujenzi wa ofisi ya walimu na ujenzi wa matundu ya vyoo kwa baadhi ya shule.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Kilosa kufanya sensa ya mifugo

    December 29, 2022
  • Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

    December 24, 2022
  • Kilosa yaendelea kutambua juhudi za Serikali kwa Watumishi wa Umma na Wananchi-DED Kilosa

    December 19, 2022
  • -Serikali haitosita kulinda Rasilimali watu kwa maslahi ya Maendeleo ya Taifa- Mh. Mhagama

    December 20, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa