• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Someni taarifa za mapato na matumizi ili shughuli za maendeleo ziende

Posted on: March 19th, 2021

Watendaji wa kata na vijiji wametakiwa kuhakikisha taarifa za mapato na matumizi zinatolewa kwa wananchi kila vinapofanyika vikao vya kisheria jambo litakalosaidia kufanikisha shughuli za maendeleo katika maeneo yao ikiwemo ujenzi wa madarasa ambapo wamesisitizwa kuwafahamisha wananchi kinachopaswa kujengwa si boma bali ni darasa jambo litakalosaidia kutokuwa na maboma ambayo hayajamaliziwa kwa kuisubiri Serikali imalizie ujenzi.

Rai hiyo imetolewa Machi 18 mwaka huu na Mkaguzi wa Ndani Wilaya Eliuta Makugila ambapo amesema kumekuwa na maboma mengi ambayo hayajamaliziwa kwa kusubiri Serikali imalize ujenzi jambo ambalo si sahihi huku akisema kuwa ili shughuli za maendeleo ziende Halmashauri ya kijiji inapaswa kushirikisha jamii katika maamuzi ya aina mbalimbali kupitia mkutano mkuu wa kijiji na kwamba kutofanyika kwa mikutano stahiki ndio chanzo cha migogoro.

 Bi Christina Hauli Afisa Elimu Msingi Wilaya

Bi Paula Nkane Afisa Elimu Sekondari Wilaya

Akizungumzia suala la walimu kutoishi katika nyumba zilizojengwa na vijiji kwa ajili ya walimu amesema walimu wanaofanya kazi katika kata zilizo karibu na Kilosa mjini wamekuwa na hulka ya kutopenda kuishi katika kata husika kwa hoja ya kutokuwepo nyumba za kuishi katika kata husika jambo ambalo si kweli na linalipelekea watumishi hao kuchelewa kazini na kutoanza majukumu kwa wakati hivyo kila mtumishi anapaswa kuishi katika eneo lake la kazi hivyo ametaka watumishi wote kutimiza wajibu wao katika muda stahiki.

Naye Kamanda wa TAKUKURU Wilaya Lawrance Mlaponi amesema miradi mingi inafanywa kutokana na michango ya wananchi hivyo ili wananchi waweze kuchangia shughuli za maendeleo ni lazima wapate taarifa sahihi za mapato na matumizi kwani ni haki yao na ndio wachangaji wakuu hivyo kutotolewa kwa taarifa ama michango inayokusanywa isiposimamiwa vizuri na kuliwa na baadhi ya viongozi kunawavunja moyo huku akisisitiza pesa yoyote inapopelekwa shuleni ni vema mwalimu mkuu ama mkuu wa shule akashirikisha viongozi wengine ili kuepuka kujihusisha katika vitendo vya kijinai na kupelekea kupoteza kazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa