• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Suala la upatikanaji wa chakula mashuleni iwe ni shirikishi zaidi

Posted on: February 11th, 2024

Suala la utoaji lishe shuleni limeendelewa kusisitizwa katikati ya jamii kwa kila mmoja kushiriki kwa khakikisha inakuwa ni ajenda ya kudumu kwa lengo la kuimarisha na kujenga afya za wanafunz ili waweze kupata chakula pindi wawapo shuleni jambo litakalosaidia wanafunzi kupata elimu kwa kuzingatia masomo yao vizuri.

Msisitizo huo umetolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka H Shaka wakati wa kikao cha tathmini ya lishe kilichojumuisha mada mbalimbali ambapo amesema kuwa suala la lishe ni shirikishi kwa jamii nzima kwani upatikanaji wa chakula hutegemea na aina ya chakula kinachopatikana katika maeneo husika, hivyo si lazima chakula kiwe ni mahindi na maharage bali ukusanyaji wa vyakula uzingatie nyakati na upatikanaji wake katika maeneo husika.

Pamoja na hayo ameitaka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kuweka mikakati ya uwepo wa sheria ndogo zitazoweka mkazo juu ya upatikanaji wa chakula mashuleni ambapo pia amesisitiza watendaji wa kata kushirikiana kwa ukaribu na jamii husika na uongozi wa vijiji kwa kuwa na vikao vya pamoja ili kupata suluhu ya upatikanaji wa chakula shuleni kwa watoto wote ikiwemo kutumia mbinu mbalimbali za ushawishi  ili kutekeleza agizo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la upatikanaji wa chakula  shuleni  na kwamba kwa agizo hili kila mtendaji atapimwa namna anavyotekeleza agizo hili.

Naye Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya(CCM) Comrade Shaban Mdoe ametaka Baraza la Maendeleo ya kata(BMK) kufanyika inavyotakiwa na kuifanya ajenda ya upatikanaji wa chakula kuwa ajenda muhimu na shirikishi ikiwemo upatikanaji wa maeneo ya kulima mashamba ya shule, upangaji wa bajeti ya chakula shuleni, huku upande wa ugonjwa wa kipindupindu ametaka kuendelea kutolewa kwa elimu ya afya na usafi wa mazingira inazingatiwa kwa kuzingatia matumizi ya maji safi, uimarishaji wa miundombinu ya maji na matumizi ya vyoo bora na salama.

Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mpella Kwidika ambaye mhasibu toka kitengo cha fedha amesema kuwa watendaji wa kata wamepewa dhamana ya kuongoza katika maeneo yao hivyo wanalo jukumu la kusimamia utekelezaji wa agizo la upatikanaji wa chakula mashuleni ni vema wakazingatia zaidi mazingira ya maeneo yao ili kuleta matokeo mazuri kwa kuzingatia zaidi matumizi ya njia shirikishi kwa jamii kwa jamii husika kushiriki kwa ukubwa zaidi kutoa mawazo yao kupitia mikutano ya vijiji na kamati za shule jambo litakaloleta tija kwa wanafunzi .

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Afya Dkt. Mameritha Basike amesema Divisheni ya Afya inaendelea kusimamia suala la lishe na utekelezaji wa agizo la Rais lakini pia inaendelea kutoa  elimu ya usafi wa afya na mazingira katika maeneo mbalimbali huku akitoa rai kwa watendaji kuendelea kuhamasisha suala la usafi wa mazingira kwa wnanchi katika maeneo mbalimbali ikiwemo majumbani na maeneo ya biashara ili kujiepusha na magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa kipindupindu.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa