• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

TARI NA EAGC WAASWA KUVITUMIA VYOMBO VYA HABARI KUENEZA TEKNOLOJIA- MGUMBA

Posted on: June 21st, 2019

Imeelezwa kuwa matokeo ya utafiti pekee hayawezi kuleta tija endapo wadau wengine hawatayachukua na kuyasambaza kwa watumiaji kwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari ambavyo kwa asilimia kubwa vina uwezo wa kufikisha ujumbe kwa jamii husika ama walengwa.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Kilimo Mh Omary Mgumba katika siku ya maonesho ya kilimo biashara ambapo amesema amezitaka taasisi ya Utafiti wa kilimo Tanzania(TARI) na baraza la nafaka ukanda wa Afrika Mashariki(EAGC) kutambua kuwa vyombo vya habari vikitumika ipasavyo vina mchango mkubwa katika sekta ya kilimo kwani vitasaidia kuhamasisha matumizi ya teknolojia sahihi za kilimo kwa nia ya kuongeza tija.

Mgumba amesema kuwa kilimo ni sekta muhimu katika maendeleo ya uchumi wa wananchi na taifa hususan katika kuufikia uchumi wa kati ambao unategemea zaidi uwepo wa wakulima katika kuzalisha malighafi ambazo zitatumika viwandani na kuzalisha bidhaa mbalimbali zitakazokuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kiujumla.

Pamoja na hayo Mgumba amesema katika kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi, upungufu wa rutuba ya udongo, visumbufu vya mazao na mengineyo taasisi za utafiti wa kilimo zimejielekeza katika kuongeza uzalishaji na uhamasishaji matumizi ya mbegu bora, kueneza elimu juu ya kanuni bora na endelevu za uzalishaji mazao ii kuongeza tija na faida, kueneza teknolojia rafiki kwa jinsisa zote katika uzalishaji na usindikaji mazao katika mnyororo wa thamani na kushirikisha wadau mbalimbali wa sekta ya umma na binafsi ili kueneza matokeo ya utafiti kwa walengwa kwa kasi katika maeneo husika.

Aidha ametoa wito kwa wananchi na wakulima kiujumla kutumia fursa hiyo kujifunza teknolojia mbalimbali ambazo zitawasaidia kuboresha kilimo katika maeneo yao ikiwemo kulima mazao yanayostawi maeneo yao kwa kuzingatia teknolojia zitakazowaletea tija.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amezitaka taasisi za utafiti hasa katika sekta ya kilimo kufanya shughuli za utafiti kwa karibu zaidi na wakulima ambao ndio watumiaji wakubwa wa matokeo ya tafiti hizo lakini pia ameiomba wizara ya kilimo kuwatupia jicho la karibu wakulima kwa kuwasaidia kupata maeneo ya kilimo ili kujiongezea kipato chao na taifa kwa ujumla.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa