• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

TASAF AWAMU III YATOA MAFUNZO KWA WAKUU WA IDARA WILAYANI KILOSA

Posted on: May 7th, 2018

Wakuu wa idara 20 wa Halmshauri ya Wilaya ya Kilosa Mei 07, 2018 wamejengewa uelewa wa pamoja juu ya utaratibu wa kutekeleza shughuli za Kuweka Akiba na Kukuza Uchumi wa Kaya Maskini ikiwa ni mpango unaotekelezwa na TASAF katika awamu ya tatu ikiwa ni sehemu ya Mpango Mkuu wa Kunusuru Kaya Maskini wilayani Kilosa mkoani  Morogoro.

Hayo yamebainishwa na Afisa Utumishi Wilaya ya Kilosa  Noel Abel kwa niaba ya mgeni rasmi Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ambapo amesema kuwa shabaha kubwa ya mafunzo hayo ni kujenga uelewa wa pamoja katika ngazi zote za utekelezaji katika Halmashauri kwa kutoa mafunzo elekezi kwa watendaji husika ili kuwasaidia walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini ili waweze kushiriki katika shughuli za kukuza uchumi wa kaya

Mpango wa Kukuza Uchumi wa Kaya unahusu utekelezaji wa shughuli mbalimbali ambazo zitasaidia ukuaji wa uchumi wa kaya ambapo shughuli hizo zinahusu uhamasishaji wa walengwa wa vikundi kuweka akiba ambazo zitatumika kama mitaji ya kuanzisha au kupanua shughuli za kiuchumi huku ikitarajiwa kuwa walengwa kupata  ujuzi utakaowasaidia kutekeleza miradi au biashara kwa faida endelevu, hivyo kuongeza kipato na kupunguza umaskini

Awali Abel amesema kuwa TASAF imekuwa ikifanya kazi katika awamu mbili tofauti ambapo awamu ya kwanza miradi 1,704 yenye thamani ya shilingi bilioni 72 ilitekelzwa huku awamu ya pili miradi  12,374 yenye thamani ya shilingili bilioni 430 za kitanzania ilitekelezwa na kuwezesha jumla ya kupata huduma bora za kijamii ikiwemo huduma za afya,elimu , maji nk

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Program ya Dunia Yangu Bora Yawa Chachu Njema Mashuleni

    August 11, 2022
  • Maonesho ya Nane Nane kuwa Endelevu

    August 08, 2022
  • Fanyeni Maonesho ya Nane Nane kuwa na tija - Mh. Pinda

    August 04, 2022
  • RUWASA, MORUWASA shirikianeni na taasisis nyingine kuibua vyanzo vya maji

    August 02, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa