• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

TATUENI MIGOGORO KWA NJIA YA SULUHU

Posted on: November 13th, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Lucas Mwambambale ametoa rai kwa serikali za vijiji vya Tindiga A, Tindiga B na Ngaite kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea katika vijiji hivyo kwa njia ya suluhu kwa maslahi mapana ya wananchi wa vijiji hivyo na kwamba  wakati wa migogoro umekwisha bali wakati uliopo ni kwa ajili ya kufanya maendeleo.

Mwambambale amesema kuwa wakati tuliopo ni wakati wa kutafuta maendeleo na kwamba mgogoro wa mipaka uliopo katika eneo la kwa kaburi la Madinda, kwa Kiduna na kibao cha Erato ni mgogoro unaoweza kutatuliwa kwa njia ya kukaa kwa pamoja kufanya suluhu kwani kuendelea kwa mgogoro huo kunaikosesha Halmashauri mapato ambayo ingeyapata kupitia wakulima na wafugaji.

Aidha Mwambambale ameiasa jamii ya wafugaji kutochukua sheria mkononi kwa kufanya maamuzi yasiyofaa na kusababisha migogoro na watambue kuwa hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria hivyo kila mmoja anapaswa kutii sheria ili tuweze kuishi kwa amani kwani wanakilosa wote ni jamii moja na ni ndugu na kwamba wanapaswa kuishi kwa ushirikiano huku kila mmoja akimhesabu mwenzake kuwa ni bora.

Sambamba na hayo katika kikao hicho iliundwa kamati ya pamoja yenye wajumbe 15 kutoka vijiji vyote vitatu itakayotambua ukubwa wa eneo lenye mgogoro, itatambua maeneo yaliyogawiwa kwa wananchi kwa ukubwa wake, itabainisha maeneo yanayolipiwa baada ya kugawiwa na kiasi cha fedha kilichopokelewa kwa maeneo hayo na kwamba kamati hiyo inaanza kazi mara moja wakati huo taratibu nyingine za kisheria zikiendelea ili kubaini umiliki halali wa eneo hilo.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI

    June 05, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kufanya marejesho kwa wakati

    June 02, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kurejesha kwa wakati

    June 02, 2023
  • Shaka aahidi kushirikisha wananchi utatuzi wa changamoto

    May 31, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa