• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

TIMU YA UKAGUZI TAMISEMI YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 5.3

Posted on: July 15th, 2025

Timu ya Wataamu kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mkoa imefanya ziara ya kutembelea na kukagua Miradi ya Maendeleo yenye thamani zaidi ya shilingi Bilioni 5.3 inayotekelezwa Wilayani Kilosa.

Ziara hiyo imefanyika Julai 15, 2025 ikiongozwa Afisa Mipango Mkuu kitengo cha ufuatiliaji na Tathmini TAMISEMI Ndg. Henry R. Mutungo ambapo amesema  ziara hiyo imelenga kufanya ufatiliaji wa Miradi ya Elimu Msingi, Sekondari na Majengo ya Utawala kisha  kufanya tathimni ya utekelezaji.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mutungo  amewataka wahandisi wanaosimamia miradi kuhakikisha wanafanya tathmini ya mradi kwa usahihi kulingana na maeneo husika ili kupata kiwango cha bajeti cha uwakika kitakachoweza kukamilisha miradi.

“Wahandisi fanyeni tathimini ya majengo kwa uwakika kulingana na eneo ambao  mradi unatekelezwa  ili kupata bajeti itayoweza kukamilisha mradi”. Alisema Mutungo

Aidha, ameongeza kuwa wasimamizi wa Miradi hiyo kuongeza juhudi ya usimamizi kwa kutoa ushirikiano na kufatialia kwa kila hatua ya ujenzi ili kuepuka changamoto zinazorekebishika wakati wa utekelezaji wa mradi.

Pia timu hiyo imeshauri kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi na Ugavi kuendelea kutoa elimu ya matumizi ya mfumo wa Nest kwa mafundi ili waweze kupata uelewa wa kuomba zabuni ili kutatua changamoto ya uchache wa mafundi wanaoomba zabuni hizo hali inayopelekea miradi kutokamilika kwa wakati.

Naye Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Mipango na Uratibu Mkoa Bi. Edina Katalaiya  ameutaka uongozi wa shule kutoa elimu kwa wanafunzi juu ya utunzaji wa miundombinu  ili miradi iweze kutumika kwa muda mrefu huku akisisitiza suala la utunzaji wa mazingira.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Bi. Beatrice Mwinuka amesema amepokea maoni na ushauri mbalimbali yaliyotolewa na timu hiyo juu ya ukamilishaji wa miradi hiyo na kuahidi kuzifanyia kazi.

Katika ziara hiyo miradi iliyotembelewa ni Pamoja na Jengo la Utawala , Nyumba ya Mkuu wa idara, Shule ya Msingi Matongolo, shule ya Sekondari  Amali, Dumila na  Chanzuru.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILOSA DC June 06, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • MHE. SHAKA AWATAKA VIONGOZI NGAZI YA VIJIJI NA KATA KUZUIA KUINGIZA MIFUGO KIHOLELA

    July 16, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI TAMISEMI YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 5.3

    July 15, 2025
  • KILOSA YAKUSANYA MILIONI 262 KWA ZAO LA UFUTA KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

    July 12, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA ZA UWEKEZAJI KILOSA

    June 30, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa