• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

TUMIENI FURSA YA SANAA KATIKA NGAZI YA UTALII KUKUZA UCHUMI- DAS KILOSA

Posted on: November 5th, 2018

Katibu Tawala Wilaya ya Kilosa John Kasitila ametoa rai kwa wasanii waliopo wilayani Kilosa kutumia vema fursa ya wao kuwa wasanii hasa katika ngazi ya utalii kwa kuiweka sanaa vizuri katika maeneo ya utalii ili watalii wa ndani na nje wanapotembelea maeneo mbalimbali ya kitalii wataweza kukuza uchumi ikiwemo kununua bidhaa zitokanazo na sanaa wanazozifanya kwa kutambua kuwa katika maeneo ya utalii si vivutio kama wanyama vinavyopatikana katika maeneo hayo lakini pia kazi za wasanii ikiwemo uchoraji, uchongaji vinyago, ngoma, miziki na sanaaa nyinginezo.

Rai hiyo imetolewa wakati wa kikao cha Katibu Tawala huyo kwa wasanii wa aina zote wilayani kilosa ambapo amesema kuwa iwapo wasanii hao wakijipanga vema na kujisajili katika Baraza la Sanaa Tanzania- BASATA itawasaidia kutambulika na kupata kibali cha kufanya kazi zao maeneo mbalimbali kwa uwazi jambo litakalowasaidia kupata misaada na utatuzi wa changamoto zinazowakabili.

Katika kikao hicho wasanii hao wamesema ipo haja ya kuwa na mikakakti ya kufufua na kuendeleza sanaa ikiwemo kuanzisha mashindano ya sanaa na kujenga misingi bora ya sanaa kuanzia mashuleni, kuhakikisha kila msanii ama kikundi kinasajiliwa kisheria, itolewe elimu juu ya haki zao, lakini pia wajengewe misingi mizuri ya usimamizi na masoko ya kazi zao ili waweze kujikwamua kiuchumi, pamoja na kuwa na matamasha /makongamano yatakayowakutanisha kujadili mambo mbalimbali yanayowahusu.

Naye mmiliki wa Kilosa club Deo Mwakabanga ametoa wito kwa wasanii hao kutumia fursa ya uwepo wa kumbi mbalimbali kuonyesha sanaa ama kazi wanazozifanya kwani kwa kufanya hivyo itawasaidia kutambulika lakini pia kujiongezea kipato kupitia kazi zao.

Naye Mwishehe Mohamed ambaye ni msanii ametoa wito kwa wasanii wenzake kutokuwa wavivu wa kutafuta habari ili kujua kila kinachojiri katika sekta ya sanaa kwani kwa kufanya hivyo itawaongezea uelewa wa mambo mbalimbali hususani ya sanaa na kuongeza juhudi ili kufikia viwango vya juu na kuikuza sanaa.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Kilosa kufanya sensa ya mifugo

    December 29, 2022
  • Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

    December 24, 2022
  • Kilosa yaendelea kutambua juhudi za Serikali kwa Watumishi wa Umma na Wananchi-DED Kilosa

    December 19, 2022
  • -Serikali haitosita kulinda Rasilimali watu kwa maslahi ya Maendeleo ya Taifa- Mh. Mhagama

    December 20, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa