• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

TUMIENI PIKIPIKI KATIKA MAKUSUDI YALIYOKUSUDIWA - DC KILOSA

Posted on: September 7th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ni miongoni mwa halmashauri 9 za Mkoa wa Morogoro zinazotekeleza mpango  wa kukuza stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu lengo ikiwa ni kuondoa tatizo la wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi bila kuweza kumudu stadi hizo muhimu ambapo mpango huo unafadhiliwa na USAID Tusome pamoja kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Taznania chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi na Ofisi ya Rais(TAMISEMI).

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Mwambambale wakati wa hafla fupi ya ugawaji wa pikipiki 40 kwa Waratibu Elimu Kata pamoja na ugawaji wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 24.5 kwa vikundi saba vya vijana na kinamama kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi kupitia 4%  ya vijana na 4% kwa kinamama ikiwemo pikipiki 6, mashine ya kufyatulia tofali, ,compresa, pump ya umwagiliaji na mashine ya kusaga na kukoboa.

Akitoa nasaha zake Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo amesema kuwa pikipiki hizo zimetolewa ili kuwawezesha na kuwarahisishia waratibu hao ufatiliaji kwa kila shule,  hivyo wahakikishe wanazitunza na zinakuwa salama ili ziweze kudumu kwa muda mrefu na zitumike katika makusudi yaliyokusudiwa na yoyote atakayebainika kuzitumia kinyume na makusudi hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.

Aidha kwa upande wa vikundi vilivyopokea vifaa hivyo Mkuu wa Wilaya amewataka wanavikundi hao kuvitumia vifaa hivyo kwa ajili ya kuzalisha  na kuchangia maendeleo kwani watakapozalisha itawasaidia kuinuka kiuchumi na kujiajri wao wenyewe.

Naye Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kilosa Mhe. Hassan Kambenga amewataka Waratibu Elimu Kata pamoja na wanavikundi hao kuhakikisha wanavitumia vifaa hivyo kwa umakini na kwamba wao kama viongozi hawatasita kufatilia  mwenendo wa matumizi ya vifaa hivyo na kwa upande wa elimu amewataka waratibu hao kushirikiana na walimu walio chini yao ili kuhakikisha kiwango cha wanafunzi wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu inapungua na hatimaye kutoweka kabisa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa