• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA KILOSA KUANZA MEI 2-4 MWAKA HUU-DED KILOSA

Posted on: May 1st, 2020

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kilosa na Mikumi Asajile Lucas Mwambambale amewataka wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata pamoja na waandikishaji wasaidizi watakaohusika katika zoezi ka uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura kuzingatia taratibu zote zinazoelekezwa na tume ya uchaguzi pamoja na kuzingatia taratibu za kujikinga na janga la corona kipindi chote cha zoezi hilo.

Mwambambale ametoa msisitizo huo Aprili 30 mwaka huu wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa awamu ya pili ambapo amewataka washiriki hao kutambua kuwa wameaminiwa kushiriki zoezi hilo ambalo linafanyika nchi nzima ambapo katika wilaya ya Kilosa zoezi la uboreshwaji linatarajiwa kufanyika kwa siku tatu kuanzia Mei  2 hadi 4 mwaka huu katika kata zote  40 ambazo kila kata itakuwa na kituo kimoja.

Pia amesema kuwa Tume ya uchaguzi katika zoezi hili la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura imeendelea kusisitiza namna ya kuchukua hatua madhubuti dhidi ya covid 19 ambayo huambukizwa kwa njia ya mgusano na njia ya hewa njia ambazo ni rahisi kuambukizana ikiwemo kwa kukohoa, kupiga chafya ama kugusa vitu mbalimbali  vilivyoguswa na mtu mwenye maambukizi hivyo katika zoezi hilo wahakikishe  vituoni hakuna msongamano, watu wanakuwa katika umbali wa  kuanzia mita moja kutoka mtu mmoja kwenda mtu mwingine, unawaji mikono kwa maji safi na salama na sabuni lakini pia amekumbusha watu kurejea tiba kinga za kale zilizotumika na wazee ikiwemo kujifukiza na kufanya mazoezi.

Licha ya hayo amesema Tume ya uchaguzi inaeleza kuwa zoezi la uboreshaji litawahusu watu wote ambapo litahusisha uwekaji wazi daftrai la kudumu ili watu waweze kuboresha taarifa zao huku ikisisitiza wasimamizi hao kuepusha misongamano katika vituo vyao pamoja na uwepo wa ndoo zenye maji safi na salama pamoja na vitakasa mikono ambapo pia katika vituo licha ya kuwepo kwa waandikishaji lakini pia watapaswa kunawa mikono wafikapo vituoni kabla ya kupata huduma.

 

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mfumo wa TAUSI watambulishwa kwa wafanyabiashara

    March 23, 2023
  • Shule ya Msingi Tambukareli yaanza kutumika rasmii

    March 06, 2023
  • Shule ya Msingi Tambykareli yaanza kutumika rasmi

    March 06, 2023
  • DC SHAKA ASISITIZA UONGOZI WA PAMOJA

    March 01, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa