• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA KILOSA KUANZA MEI 2-4 MWAKA HUU-DED KILOSA

Posted on: May 1st, 2020

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kilosa na Mikumi Asajile Lucas Mwambambale amewataka wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata pamoja na waandikishaji wasaidizi watakaohusika katika zoezi ka uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura kuzingatia taratibu zote zinazoelekezwa na tume ya uchaguzi pamoja na kuzingatia taratibu za kujikinga na janga la corona kipindi chote cha zoezi hilo.

Mwambambale ametoa msisitizo huo Aprili 30 mwaka huu wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa awamu ya pili ambapo amewataka washiriki hao kutambua kuwa wameaminiwa kushiriki zoezi hilo ambalo linafanyika nchi nzima ambapo katika wilaya ya Kilosa zoezi la uboreshwaji linatarajiwa kufanyika kwa siku tatu kuanzia Mei  2 hadi 4 mwaka huu katika kata zote  40 ambazo kila kata itakuwa na kituo kimoja.

Pia amesema kuwa Tume ya uchaguzi katika zoezi hili la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura imeendelea kusisitiza namna ya kuchukua hatua madhubuti dhidi ya covid 19 ambayo huambukizwa kwa njia ya mgusano na njia ya hewa njia ambazo ni rahisi kuambukizana ikiwemo kwa kukohoa, kupiga chafya ama kugusa vitu mbalimbali  vilivyoguswa na mtu mwenye maambukizi hivyo katika zoezi hilo wahakikishe  vituoni hakuna msongamano, watu wanakuwa katika umbali wa  kuanzia mita moja kutoka mtu mmoja kwenda mtu mwingine, unawaji mikono kwa maji safi na salama na sabuni lakini pia amekumbusha watu kurejea tiba kinga za kale zilizotumika na wazee ikiwemo kujifukiza na kufanya mazoezi.

Licha ya hayo amesema Tume ya uchaguzi inaeleza kuwa zoezi la uboreshaji litawahusu watu wote ambapo litahusisha uwekaji wazi daftrai la kudumu ili watu waweze kuboresha taarifa zao huku ikisisitiza wasimamizi hao kuepusha misongamano katika vituo vyao pamoja na uwepo wa ndoo zenye maji safi na salama pamoja na vitakasa mikono ambapo pia katika vituo licha ya kuwepo kwa waandikishaji lakini pia watapaswa kunawa mikono wafikapo vituoni kabla ya kupata huduma.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa