• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UBORESHAJI USAFI WA MAZINGIRA HUPUNGUZA MAGONJWA YATOKANAYO NA UCHAFU

Posted on: March 8th, 2019

Imeelezwa kuwa uboreshwaji wa usafi wa mazingira sambamba na uboreshaji wa afya ikiwemo unawaji mikono nyakati muhimu, matumizi ya kichanja majumbani pamoja na matumizi sahihi ya choo ni miongoni mwa mambo yanayoweza kusaidia kwa kiasi kubwa kupunguza magonjwa yatokanayo na uchafu wa mazingira.

Hayo yamebainishwa na Mshauri wa Maji na Usafi wa Mazingira kutoka SAWA Mhandisi Wilhelmina Malima ambapo amesema kuwa SAWA NA WARIDI kwa kushirikiana na Halmashauri katika kuongeza nguvu ya kuboresha afya kupitia huduma za usafi wa mazingira ambapo watahakikisha katika kampeni hii ya kitaifa watahakikisha vijiji 40 visivyo na vyoo vinakuwa na vyoo bora.

Malima amesema kuwa katika program yao wamepanga mkakati wa kuhakikisha kuwa zinapatikana kaya nyingi zitakazokuwa na vyoo bora ili kuepuka kujisaidia porini sambamba na baadhi ya shule zitakazopangiwa mkakati wa kujengewa vyoo unaofadhiliwa na WARIDI ambapo watendaji wakuu wakiwa ni SAWA ambao watahakikisha malengo hayo yanafanikiwa.

Naye Mratibu wa Usafi nau Mazingira katika program ya WARIDI Alex Ndama amesema ndani ya program hiyo inayokwenda kwa kaulimbiu usichukulie poa nyumba ni choo amesema licha ya kuhamasisha watu kujenga vyoo na kuvitumia , kuhamasisha unawaji mikono nyakati muhimu lakini pia watajenga vyoo katika shule mbalimbali za msingi za Madudu, Kitete, Mfulu na Peapea.

Naye Afisa Afya Nyabahwela Mahuyu amesema kuwa baada ya kufanyika kwa kampeni na uhamasishaji wa ujenzi wa vyoo hali halisi mpaka Disemba 2018 kaya 4048 zilikuwa hazina vyoo lakini kufikia Januari 2019 kaya 3050 katika ngazi ya wilaya ndio zilikuwa hazina vyoo ambapo kwa sasa takwimu zinaendelea kushuka kutokana na hatua mbalimbali ambazo zimekuwa zikichukuliwa kwa ngazi ya kata ikiwemo kupelekwa mahakamani kwa kaya zisizo na vyoo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa