• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UDHIBITI WA MGONGANO WA KIMASLAHI NGUZO YA UTAWALA BORA

Posted on: December 11th, 2018

Imeelezwa kuwa siku ya Maadili imezaliwa kutokana na Siku ya Kimataifa ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ni siku maalumu iliyotengwa kwa ajili ya kuhimiza jamii kuzuia na kupambana na rushwa ambapo Serikali ya Tanzania iliamua kuwa maadhimisho hayo yafanyike Desemba 10 ya kila mwaka badala ya Desemba 9 kwa kuwa Tanzania huadhimisha sikukuu ya Uhuru ambapo kauli mbiu kwa mwaka huu ni "Udhibiti wa mgongano wa maslahi: nguzo muhimu kujenga utawala bora"

Hayo yamebainishwa na Afisa wa TAKUKURU Lupakisyo Mwakyolile ambapo amesema kuwa hatua ya kusainiwa kwa mkataba wa Umoja wa mataifa wa kuzuia na kupambana na rushwa ilitokana na umoja wa mataifa kutambua kuwa rushwa si tatizo la taifa moja bali ni tatizo la dunia nzima na hivyo kuhimiza umuhimu wa nchi wanachama kushirikiana katika kuzuia na kupambana na rushwa duniani.

Lupakisyo amesema kuwa katika siku hii, jamii ya watanzania inapaswa kujitathmini imefanya nini, inafanya nini  na itafanya nini ili kuimarisha, kuendeleza na kufanikisha mapambano dhidi ya rushwa nchini, lengo ikiwa ni kuimarisha, kukuza na kusisitiza umuhimu wa jamii kuzingatia maadili kama hatua muhimu katika kuzuia na kupambana na rushwa nchini, Serikali na wadau wote kutambua mafanikio yaliyopatikana katika mapambano dhidi ya rushwa nchini, Serikali na wadau wote kubainisha madhara ya rushwa na kutambua umuhimu wa kuendelea kuzuia na kupambana nayo,Serikali na wadau kutambua changamoto zinazokabili mapambano dhidi ya rushwa, Wadau wote kushiriki kuweka mikakati ya kuzuia na kupambana na rushwa na Tanzania kutathmini ushiriki wake katika mapambano dhidi ya rushwa kimataifa ikiwa ni hatua ya kuendeleza juhudi zake kujenga jamii  inayoichukia na kuachana na rushwa.

Lupakisyo amesema maadili kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili sanifu ni mwenendo mwema wa mtu ambao unapimwa kwa kuzingatia kanuni, taratibu na miiko iliyokubalika na kuwekwa na jamii au kikundi cha watu ili kutimiza malengo yaliyokusudiwa., ikiwemo kufuata kwa kanuni na watumishi wa umma ili utumishi wa umma uwe wenye ufanisi na unaoheshimika ikiwemo kutokuwa mbinafsi, Uadilifu, kutoa huduma bila upendeleo, kuwajibika kwa umma, uwazi na uaminifu

Ni wajibu wa kila mtanzania kudumisha uadilifu ili azma yetu, mipango na mikakati mbalimbali ya kupambana na rushwa tunayojiwekea ifanikiwe kwani suala la kutoa au kupokea rushwa huwa ni siri, lakini athari za tendo hili si siri kwani humgusa kila mwanajamii na athari ambazo kwa mujibu wa mapatano haya zinaathiri pia jamii na uchumi wa mataifa na sio wa nchi moja pekee.

Sambamba na hayo amesisitiza na kusema kuwa mgongano wa maslahi ni ishara ya hali hatarishi na inabidi idhibitiwe isimamimwe na kubainishwa kwa kuwa ina uwezo wa kuipa sifa mbaya serikali, sekta ya umma, idara na viongozi wasitumie ofisi zao kujinufaisha wao wenyewe ama ndugu zao, jamaa zao  au wasishawishiwe na vitu hivyo kwa maslahi yao wenyewe saa zote ni maslahi ya umma na ya taifa ndio yanayosimama.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa