• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

SERIKALI KUCHUKUA HATUA ZA KUDHIBITI UHABA WA SUKARI NCHINI

Posted on: January 29th, 2024

Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imewahakikishia wananchi juu ya upatikanaji wa Sukari Nchini ambapo tayari Shehena ya Bidhaa hiyo Tani 100,000 imeshaingia Nchini na kubainisha kuwa Sukari hiyo itauzwa kwa bei elekezi kati ya shilingi 2700 hadi 3200 kwa kilo.

Hayo yamebainishwa Januari 29,2024 na Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde wakati wa Ziara ya Kamati ya Bunge ya Biashara,Viwanda,Kilimo na Mifugo ilipotembelea Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kilichopo Wilayani hapa ambapo amekiri kuwepo kwa  uhaba wa Sukari Nchini unaotokana na Viwanda kushindwa kuzalisha kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha  hivyo kusababisha bei ya Sukari kupanda.

Mhe Silinde amesema kuwa Serikali ya Rais Dokta Samia Suluhu Hassan mpaka sasa imeshachukua hatua ya kudhibiti changamoto hiyo kwa kuagiza Tani laki moja za Sukari ambapo itauzwa kwa bei elekezi ili kila Mtanzania aweze kumudu na kusisitiza kuwa Meli tayari zimeshatua Bandarini na kwamba zipo kwenye maandalizi ya kushusha mzigo huo.

Aidha amesema kuwa  Wizara imejiwekea mikakati ya Muda Mrefu na Muda mfupi na kwamba mkakati wa Muda mrefu ni Pamoja na kuondoa kabisa changamoto ya Uhaba wa Sukari Nchini kwa kuongeza uzalishaji katika Viwanda vya sukari huku Mkakati wa muda mfupi ni kuagiza Sukari nje ya nchi hususan katika kipindi ambacho viwanda havizalishi.

Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Biashara,Viwanda ,Kilimo na Mifugo Mhe. Deo Mwanyika amesema kuwa lengo la ziara hiyo ni kuangalia changamoto zinazopelekea kushuka kwa uzalishaji wa sukari katika Viwanda mbalimbali nchini ambapo amekiri kuwa Mvua ziaoendelea kunyesha ambazo zimeongezeka kutoka mililita 200 hadi kufikia mililita 760 zimesababisha Miundombinu ya Barabara za  na mashamba yenyewe kujaa maji suala lililopelekea usalishaji kusuasua.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa