• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UJENZI JENGO LA UPASUAJI MAGUBIKE WAANZA KWA KASI NZURI

Posted on: March 27th, 2020

Kufuatia ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Rais John Joseph Pombe Magufuli  katika daraja la Kiegeya na kuagiza kujengwa kwa jengo la upasuaji katika kituo cha Afya Magubike Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Mwambambale amesema Halmashauri imeanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa jengo hilo na kufikia ngazi ya kumwaga zege ambapo linategemewa kukamilika ifikapo mwezi wa sita mwaka huu .

Mwambambale amesema jengo hilo linatarajiwa kujengwa na kukamilika kwa takribani shilingi milioni mia moja ambazo zinategemewa kupatikana kwa kubana matumizi katika vifungu mbalimbali kwani halikuwa katika bajeti ya mwaka 2019/2020, hivyo kupitia fedha hizo jengo hilo linatarajiwa kukamilika ndani ya miezi miwili na tayari kiasi cha shilingi milioni 40 kimeshatengwa kwa ajili ya kazi hiyo na kuhamishiwa katika akaunti ya kijiji cha Magubike na kwamba jengo hilo litakapomilika kinategemewa kuhudumia  wananchi toka kata saba zilizo jirani na kata ya Magubike ambapo jengo hilo linajengwa.

Naye mganga mfawidhi wa kituo hicho Dkt. Sebastian Kamonga amesema anashukuru kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo kwani wagonjwa wengi wanaohitaji huduma ya upasuaji inawalazimu kwenda vituo vya jirani kama hospitali ya Berega ambayo iko umbali wa kilomita kumi kutoka Magubike hivyo kuwa na changamoto ya namna ya kuwasafirisha wagonjwa lakini kupitia ujenzi wa jengo huo wanatarajia kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji huduma ya upasuaji katika kituo hicho badala ya kuwasafirisha huku Injinia wa ujenzi anayesimamia ujenzi huo Samweli Baraka amesema kazi ya ujenzi inakwenda vizuri na wanapata ushirikiano wa kutosha toka kwa wananchi ambapo kwa sasa wanamalizia kazi ya kumwaga zege ili kazi ya kupandisha kuta ianze.

Sambamba na hayo wananchi wa kata ya Magubike pamoja na diwani wa kata hiyo Mh.Ernest Chilolo wamesema kutokuwepo kwa jengo hilo ni changamoto kubwa kwani wananchi wa kata hiyo na maeneo yanayopakana na kata hiyo wamekuwa wakihangaika kupata huduma za upasuaji kwa kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za upasuaji na kwamba ujenzi wa jengo hilo kwao ni kama muujiza na wanashukuru kuwa kilio chao kimesikika kwani nyakati nyingine kinamama walikuwa wakihangaika  kwenda kufata huduma maeneo mengine jambo lililokuwa likiwagharimu sana na kwamba katika ujenzi huo wao kama wananchi kutokana na kufurahia uwepo wa jengo la upasuaji wanachangia nguvu kazi ili kazi iweze kukamilika kwa wakati.

kuhusu suala la vifaa wanategemea kupata v


Naye mganga mfawidhi wa kituo hicho Dkt. Sebastian Kamonga amesema anashukuru kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo kwani wagonjwa wengi wanaohitaji huduma ya upasuaji inawalazimu kwenda vituo vya jirani kama hospitali ya Berega ambayo iko umbali wa kilomita kumi kutoka Magubike hivyo kuwa na changamoto ya namna ya kuwasafirisha wagonjwa lakini kupitia ujenzi wa jengo huo wanatarajia kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji huduma ya upasuaji katika kituo hicho badala ya kuwasafirisha huku Injinia wa ujenzi anayesimamia ujenzi huo Samweli Baraka amesema kazi ya ujenzi inakwenda vizuri na wanapata ushirikiano wa kutosha toka kwa wananchi ambapo kwa sasa wanamalizia kazi ya kumwaga zege ili kazi ya kupandisha kuta ianze.

Sambamba na hayo wananchi wa kata ya Magubike pamoja na diwani wa kata hiyo Mh.Ernest Chilolo wamesema kutokuwepo kwa jengo hilo ni changamoto kubwa kwani wananchi wa kata hiyo na maeneo yanayopakana na kata hiyo wamekuwa wakihangaika kupata huduma za upasuaji kwa kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za upasuaji na kwamba ujenzi wa jengo hilo kwao ni kama muujiza na wanashukuru kuwa kilio chao kimesikika kwani nyakati nyingine kinamama walikuwa wakihangaika  kwenda kufata huduma maeneo mengine jambo lililokuwa likiwagharimu sana na kwamba katika ujenzi huo wao kama wananchi kutokana na kufurahia uwepo wa jengo la upasuaji wanachangia nguvu kazi ili kazi iweze kukamilika kwa wakati.


Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa