• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UJENZI WA RELI KUNUFAISHA WANANCHI

Posted on: April 25th, 2018

Mkuu wa wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amewataka wadau mbalimbali wa maendeleo kuchangamkia fursa mbalimbali ikiwemo fursa za ajira, kimaendeleo na kibiashara zitakazojitokeza kupitia ujio wa mradi wa reli ya kati na reli ya mwendo kasi (standard gauge)  kwa kujiletea maendeleo ya mtu mmoja mmoja na wilaya kiujumla.

Mgoi amesema kuwa ujio wa miradi hiyo miwili ni lulu kwani itatoa mwanya mkubwa wa maendeleo kwani kupitia reli hizo kutakuwa fursa kubwa za kutanuka kiuchumi ambapo wananchi watapata ajira, uchumi utapanda viwango na pia wawekezaji watawekeza katika maeneo mbalimbali yaliyopo wilayani Kilosa.

Akieleza kuhusu miradi hiyo Injinia  Mlemba Singo ambaye ni Mratibu wa Mradi wa Uboreshaji wa Reli ya Kati  amesema mradi huo unalenga kukarabati reli iliyopo kwa kipande cha Dare s salaam – Isaka kwa Kilomita 970 ili kuinua uwezo wa kubeba mizigo toka tani 13.5 hadi tani 18.5 huku ujenzi wa reli ya kisasa amesema ni reli ya kisasa itakayokuwa na uwezo wa kupitisha treni zitakazoendeshwa kwa nguvu ya umeme yenye mwendo kasi usiopungua kilomita 160 kwa saa.

Singo amesema miradi hiyo italeta tija kwa wananchi kwani kutakuwa na ongezeko la usafirishaji  wa mizigo ambapo reli itabeba mizigo mpaka tani 10000 kwa mkupuo, uokoaji  wa muda wa kusafiri kwa abiria na mizigo, ongezeko la ajira , uboreshaji huduma za kijamii, kuchochea maendeleo katika sekta ya kilimo,  na faida za kiuchumi kwenye sekta ya usafirishaji hasa kupunguza gharama za mara kwa mara za matengenezo ya barabara.  

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mfumo wa TAUSI watambulishwa kwa wafanyabiashara

    March 23, 2023
  • Shule ya Msingi Tambukareli yaanza kutumika rasmii

    March 06, 2023
  • Shule ya Msingi Tambykareli yaanza kutumika rasmi

    March 06, 2023
  • DC SHAKA ASISITIZA UONGOZI WA PAMOJA

    March 01, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa