• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UJENZI WA RELI YA KISASA WATOA FAIDA LUKUKI- NAIBU WAZIRI NDITIE

Posted on: July 23rd, 2019

Imeelezwa kuwa ujenzi wa reli ya kisasa-  SGR umeleta faida mbalimbali ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Kitaifa na mkakati wa nchi kuinua sekta mbalimbali za kimkakati ili nchi yetu ifikie uchumi wa kati ifikapo 2025 kwa kuwa na hatua muhimu kiuchumi kwa kuwa na miundombinu imara ikiwemo ya reli.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mh Mhandisi Atashasta Nditie wakati wa uzinduzi wa kazi ya uchorongaji milima kwa ajili ya mahandaki yatakayotumika kupitisha reli ya kisasa ambapo amesema kuwa kazi ya uchorongaji handaki eneo la Kilosa lenye urefu wa meta 1,031 linatarajiwa kuwa handaki refu kuliko yote nchini.

Akieleza faida zitokanazo na ujenzi wa reli Mh Nditie amesema kuwa miongoni mwa faida hizo ni upatikanaji wa ajira 3,165, kukua kwa vipato vya watanzania wanaotoa huduma mbalimbali katika mradi, kukua kwa pato la taifa na sera ya viwanda ambapo umeongeza mahitaji makubwa ya vifaa vya ujenzi, pamoja na hayo sekta ya usafirishaji imefaidika kwa baadhi ya watanzania kukodisha vyombo vya usafirishaji wakiwemo wakandarasi wazawa kutoa huduma za kikandarasi za ujenzi

Sambamba na hayo kumekuwa na ufanisi wa usafirishaji wa abiria na mizigo kwa kupunguza muda wa safari lakini pia mradi utapunguza gharama za usafirishaji mizigo na kuifanya bandari ya Dar es salaam kuhimili ushindani pamoja na uchochewaji uanzishwaji wa viwanda maeneo mengine ya nchi kwa kutoa uhakika wa usafirishaji wa malighafi na bidhaa, pia mradi utachochea uanzishwaji wa makazi na miji midogo katika sehemu zinazojenga stesheni ambazo zitakuwa kivutio kwa wananchi.

Naye Mkurugenzi Mkuu la Reli Tanzania(TRC) Masanja Kadogosa amesema kuwa shirika la reli linaipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuthubutu na kuanzisha ujenzi wa reli ya kisasa kwa maendeleo ya nchina kwamba stesheni kubwa zitajengwa maeneo ya Kilosa mjini na Dodoma mjini na kwamba usanifu unaendelea ambapo umezingatia mazingira na asili ya Tanzania huku akibainisha kuwa reli hiyo itatumia nishati ya umemem na itabeba uzito wa tani 35 kwa ekseli na itakuwa na mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa kwa treni za abiria na kilomita 120 kwa saa kwa terini za mizigo

Naye Mbunge wa Jimbo la Kilosa Kati Mhe Mbarak Bawaziri amesema kuwa watanzania wanapaswa kutambua kuwa nia ya Mheshimiwa Rais wa awamu ya tano Mh John Joseph Magufuli ni njema ya kutuletea maendeleo ili tuweze kuepukana na hali ya kuwa omba omba badala yake tuwe na mali zetu wenyewe kama watanzania tutakazojivunia.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI

    June 05, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kufanya marejesho kwa wakati

    June 02, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kurejesha kwa wakati

    June 02, 2023
  • Shaka aahidi kushirikisha wananchi utatuzi wa changamoto

    May 31, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa