• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UKOSEFU WA USHIRIKIANO WASHUSHA KILOSA

Posted on: December 18th, 2018

Imeelezwa kuwa kuzorota kwa elimu kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo wilayani Kilosa kumesababishwa na ukosefu wa ushirikiano baina ya serikali na wazazi kwa kushindwa kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kutotimiza wajibu wao ipasavyo.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya Adam Idd Mgoyi katika ufunguzi wa kikao cha wadau wa elimu Kilosa ambapo amesema kuwa kutokana na kutowajibika kwa walimu, walimu wakuu, serikali kutotoa motisha , viongozi wa vijiji na kata pamoja na ngazi ya wilaya kumesababisha anguko la elimu.

Mgoyi amesema kuwa kutokana na kushuka kwa elimu na kutokuwepo kwa mikakati madhubuti ya utatuzi itachangia kasi ya kufeli kwa wanafunzi na kukuza kizazi cha watoto wasio na tabia njema ambao hawana msaada wa familia.

Aidha amesema kuwa wastani wa ufaulu kimkoa imejiwekea 77% ambapo Kilosa imefikia 63% ambapo Serikali kuu imeanza kupiga hatua ya utatuzi wa changamoto ambapo mwaka huu imeleta walimu 77 huku Halmashauri ya wilaya ikifanya msawazo ambao ulikuwa na mwitikio hasi kwa baadhi ya walimu kung’ang’ania shule za mjini.

Kikao hicho kilichohudhuriwa na Afisa Elimu Mkoa, Mwenyekiti wa Halmashauri, Mwenyekiti wa CCM, Mbunge wa jimbo la Kilosa Mh. Mbarak Bawaziri katika kuhakikisha changamoto zinapungua ametoa hundi yenye thamani ya sh.milioni 2.8 kwa ajili ya ununuzi wa matofali 24,000 kwa ajili ya shule ya Msingi Msowero ambayo inakabiliwa na uhaba wa majengo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Lucas Mwambambale ametoa rai kwa wazazi na kusema  suala la elimu bure lisiwafanye kubweteka kuchangia masuala ya maendeleo ikiwemo miundombinu ya shule hususan majengo ambapo ameahidi kumalizia maboma yote ambayo yameinuliwa kwa nguvu za wananchi ama shule.

 

i

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa