• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UNDENI VIKUNI KUPATA FURSA MBALIMBALI- MKITI MKOPI

Posted on: October 26th, 2018

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilayani ya Kilosa Mhe. Hassan Mkopi ametoa rai kwa wanachama wa shirika lisilo la kiserikali – Campaign For Female Education(CAMFED) kujiunda katika vikundi na kujisajili ili kundi linalojulikana kisheria jambo litakalowasaidia kufaidika na fursa mbalimbali zinazojitokeza ikiwemo mikopo na mitaji kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi.

Mkopi amesema hayo Oktoba 26 mwaka huu wakati wa hafla fupi ya kukabidhi mitaji mbalimbali kwa wanachama hao walio chini ya CAMFED na kusema kuwa mitaji hiyo ikatumike kama ilivyokusudiwa kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi na kutumia vyema elimu waliyonayo ikiwemo kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha.

Aidha amesema kuwa mitaji hiyo inahitajika kukua na yeye kama Mwenyekiti kwa kushirikiana na madiwani wenzake watafanya ufatiliaji kuona namna wanavyojiendesha huku akisisitiza wanachama hao kutokuwa waoga kuwatumia wataalam mbalimbali katika kukuza mitaji yao ikiwemo benki ya NMB pamoja na wataalam toka idara ya maendeleo ya jamii pamoja na idara nyinginezo.

Akisoma risala ya wanachama wa CAMFED Katibu wa mtandao wa Camfed Members Association(CAMA) Kilosa na Kitaifa Bi. Mzizi Mtambua amesema shirika hilo lenye lengo la kuwasaidia watoto wa kike walio katika mazingira hatarishi ili waweze kujikwamua kielimu pia kuondokana na umaskini mpaka sasa linafadhili shule za sekondari 28 na shule za msingi 54.

Aidha amesema kuwa shirika hilo linajivunia wasichana 1226 waliowahi fadhiliwa na CAMFED ambao wanajihusisha na shughuli mbalimbali ikiwemo ujasiliamali, kilimo, kujitolea kufundisha stadi za maisha katika shule za sekondari n.k

Katika hafla hiyo ya ugawaji mitaji hiyo kwa wanacama 2000 vimekabidhiwa vifaa, vitendea kazi pamoja na bidhaa za kuuza vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 84 ili kuwanufaisha katika miradi mbalimbali ambayo itasimamiwa na wataalam wote wa Halmashauri kiujumla , kamati ya CAMFED Wilaya watendaji wa vijiji na kata pamoja na waratibu wa CAMFED ili kuongeza nguvu katika miradi watakayoifanya ili wafikie malengo waliojiwekea.

Sambamba na hayo Mwenyekiti wa halmashauri ameuagiza  uongozi wa Halmashauri kuandaa barua itakayoonyesha kuthamini mchango wa CAMFED kwani wamekuwa msaada mkubwa kwa kusomesha wanafunzi mbambali kwa gharama kubwa kazi ambayo ilipaswa ifanywe na Halmashauri.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa